Mchakato wa Katiba Mpya: Kinachowatesa CCM ni hiki hapa; u- Conservative

Mchakato wa Katiba Mpya: Kinachowatesa CCM ni hiki hapa; u- Conservative

TILA

Member
Joined
Jul 15, 2012
Posts
18
Reaction score
4
Pamoja na nia Nzuri ya Raisi kukubali kuanzishwa kwa mchakato wa Katiba Mpya bado kuna wingu zito la upatikanaji wa katiba hiyo kabla ya mwaka 2015. Swala linaloonekana kuwasumbua sana CCM ni Kuwa Serikali Tatu; Kwa maoni yangu kinacho watesa CCcM ni kama ifuatavyo:

1. CCM wanaogopa Mabadiliko; siyo kweli kwamba Serikali tatu ni mzigo kwa Taifa; Wanaopinga serikali tatu ni waoga wa mabadiliko. Ni ukweli usiopingika kwamba Mfumo uliopo sasa unawanufaisha sana na kukipa nguvu chama kilichopo madarakani interns of influence kwa serikali , hivyo basi kuwa na serikali tatu ni kama Kupoteza Nguvu na influence yao, Ikitokea Rais wa jamhuri ya Muungano akawa Liberal Itakuwaje?. Kuogopa kuingia kwenye mfumo mpya nalo ni Tatizo, nilikuwa na mzee Mmoja; Kiongozi mwandamizi mstaafu wa CCCM anaeishi ughaibuni; yule mzee alinambia kuwa, "Kutojua tu nini kitatokea baada ya mfumo mpya ni tatizo linalowasumbua chama twala.. (their future is Uncertain)"

2. Kujisahau na kuwakadiria wapinzani: Chama tawala walijisahau sana, ni kama vile walijua watatawala milele, Kuibuka kwa vuguvugu la mabadilko sehemu mbalimbali duniani kama Vile Zambia,Kenya na Nchi ya kiarabu kumewashtua sana. Kuimarika kwa vyama vya siasa Nchini nalo ni Tatizo.. Kwamfano kauli kama " CUF ni chama cha waislamu", " CDM ni chama Cha wakrito" and CDM kitakufa kabla ya 2015..hizo siyo kauli za bahati mbaya.. Waliopata kutamka kauli hizo wanajua fika siri iliyopo.. Baada ya mbinu za Ki propaganda kushindwa na badala yake kuzidi kuvipa nguvu vyama vya SIASA, inawaogopesha sana.. " hawa Jamaa hawazuiliki" alisema MZEE..

3. CUF Kushinda Zanzibar: " Mwaka 2000 and 2010; Chama tawala tulishinda kwa Mabavu" walituokoa sana wale vijana....Tulishashindwa.. Alisema; Tofauti ya Kura zilizotangazwa Zanzibar kwenye Chaguzi zote tangu Kuanza kwa mfumo wa Vyama Vingi zinajieleza vizuri.. Bila Mikakati CCCM wasingeweza kabisa kushinda.. Cuf zanzibar, CCCm Bara, CDM au NCCR serikali ya Muungano (assumption), itakuwaje: ni maswali yasiyo na msingi, lakini bahati mbaya ndiyo yamekuwa bases ya Chama tawala kufanya maamuzi.
 
Bila kusahau rais kushitakiwa akitumia madaraka yake vibaya kama wanavyofanya ma rais wa ccm

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Pamoja na nia Nzuri ya Raisi kukubali kuanzishwa kwa mchakato wa Katiba Mpya bado kuna wingu zito la upatikanaji wa katiba hiyo kabla ya mwaka 2015. Swala linaloonekana kuwasumbua sana CCM ni Kuwa Serikali Tatu; Kwa maoni yangu kinacho watesa CCcM ni kama ifuatavyo:

1. CCM wanaogopa Mabadiliko; siyo kweli kwamba Serikali tatu ni mzigo kwa Taifa; Wanaopinga serikali tatu ni waoga wa mabadiliko. Ni ukweli usiopingika kwamba Mfumo uliopo sasa unawanufaisha sana na kukipa nguvu chama kilichopo madarakani interns of influence kwa serikali , hivyo basi kuwa na serikali tatu ni kama Kupoteza Nguvu na influence yao, Ikitokea Rais wa jamhuri ya Muungano akawa Liberal Itakuwaje?. Kuogopa kuingia kwenye mfumo mpya nalo ni Tatizo, nilikuwa na mzee Mmoja; Kiongozi mwandamizi mstaafu wa CCCM anaeishi ughaibuni; yule mzee alinambia kuwa, "Kutojua tu nini kitatokea baada ya mfumo mpya ni tatizo linalowasumbua chama twala.. (their future is Uncertain)"

2. Kujisahau na kuwakadiria wapinzani: Chama tawala walijisahau sana, ni kama vile walijua watatawala milele, Kuibuka kwa vuguvugu la mabadilko sehemu mbalimbali duniani kama Vile Zambia,Kenya na Nchi ya kiarabu kumewashtua sana. Kuimarika kwa vyama vya siasa Nchini nalo ni Tatizo.. Kwamfano kauli kama " CUF ni chama cha waislamu", " CDM ni chama Cha wakrito" and CDM kitakufa kabla ya 2015..hizo siyo kauli za bahati mbaya.. Waliopata kutamka kauli hizo wanajua fika siri iliyopo.. Baada ya mbinu za Ki propaganda kushindwa na badala yake kuzidi kuvipa nguvu vyama vya SIASA, inawaogopesha sana.. " hawa Jamaa hawazuiliki" alisema MZEE..

3. CUF Kushinda Zanzibar: " Mwaka 2000 and 2010; Chama tawala tulishinda kwa Mabavu" walituokoa sana wale vijana....Tulishashindwa.. Alisema; Tofauti ya Kura zilizotangazwa Zanzibar kwenye Chaguzi zote tangu Kuanza kwa mfumo wa Vyama Vingi zinajieleza vizuri.. Bila Mikakati CCCM wasingeweza kabisa kushinda.. Cuf zanzibar, CCCm Bara, CDM au NCCR serikali ya Muungano (assumption), itakuwaje: ni maswali yasiyo na msingi, lakini bahati mbaya ndiyo yamekuwa bases ya Chama tawala kufanya maamuzi.

kumbe vyama vya upinzani ni maliberali? sasa kwa nini walikuwa wananyoosheana vidole?
 
Mkuu, huo ni umbumbumbu wako kudhani kuwa kwenye katiba kuna kipengele kimoja tu ambacho kinapingwa na ccm. hii ni dhahiri kuwa CHADEMA mmejikita zaidi kwenye kuangalia maslahi yenu ambayo hata hivyo nina hakika kuwa hamtayapata. hayo yalikuwa ni maoni ya ccm na haina maana kuwa kitendo cha ccm kutoa maoni yake kama chadema walivyotoa ya kwao ni kinyume cha sheria au kukwamisha mchakato. wanaokwamisha mchakato ni vyama vya kiliberali hasa vilipoamua kutoshiriki mjadala wa sheria ya mabadiliko ya katiba. kumbuka kwamba katika sheria hii, chadema wamesusia mara mbili na hii inadhihirisha kuwa hawako tayari kuona katiba mpya inapatikana
 
Tatizo chadema mumeshindwa vita kabla hata hijaanza. Mnadhani kuukimbia uwanja ni mbinu nzuri ya kupata point za bure kumbe ni vice versa.
Pamoja na kwamba nawaombea njaa(na imeshawakuta) lakini uwepo wenu kwenye mchakato ulikuwa na umuhimu mkubwa.
Yakheeeeeeeeee... Nyie mkisusa sie twalaaaaaaa
 
Tatizo chadema mumeshindwa vita kabla hata hijaanza. Mnadhani kuukimbia uwanja ni mbinu nzuri ya kupata point za bure kumbe ni vice versa.
Pamoja na kwamba nawaombea njaa(na imeshawakuta) lakini uwepo wenu kwenye mchakato ulikuwa na umuhimu mkubwa.
Yakheeeeeeeeee... Nyie mkisusa sie twalaaaaaaa

Tatizo hapa siyo Chadema V/S CCM.. Ni mstakabali wa Tanzania ya kesho na vizazi vijavyo..Siyo kila kitu kinachopendekezwa na Chama cha siasa au Taasisi yeyote kitapita, la Hasha.. "Funika Kombe mwanaharamu apite"ndicho tunachotaka kukifanya.. Tume walitumia Buisara ya hali ya Juu sana, ili kuokoa Muungano uliopo, ni lazima tusiwe rigid, tuendane na mabadiliko.. Wazanzibari na watanzania walio wengi wanapenda sana muungano, lakini ni lazima tuwe na muunga ambao upo structured vizuri.. Nyumba bila msingi Imara ni ni hatari.. tuweke misingi imara itakayo tupa win win situation baina yetu na Zanzibar na itakayo ondoa malalamiko yasiyo yamsingi..

Wapinzania Kususia Mjadala ni sahihi Kabisa, Ingawa kususa kwa vurungu siyo approach nzuri sana.. Kwa wale Wakristo biblia inatukataza kuketi barazana kwa wenye Mizaha.. lakini Generally ilikuwa ni swala la kutumia Busara zaidi kuliko mabavu..wangewasikiliza hoja zao, na kuipa kamati muda tena wa kupitia mswada ili twende pamoja.. Sidhani kama kweli CDM, CUF, NCCR na wengine ni Mbumbumbu kiasi cha kususa tu bila sababu..hakuna mtu mwenye nia njema na Nchi yetu anaeweza kususia katiba, lakini ni bora sana kuonyesha hisia zako pale ambapo hujaridhika na husikilizwi.. Bunge letu linatawaliwa kwa maamuzi ya Simple majority (NDIYOOOOOOOOO.... waliosema ndiyo wameshinda..).. Tufanye hivo kwenye vutu vingine siyo katiba ya Nchi..
 
Mkuu, huo ni umbumbumbu wako kudhani kuwa kwenye katiba kuna kipengele kimoja tu ambacho kinapingwa na ccm. hii ni dhahiri kuwa CHADEMA mmejikita zaidi kwenye kuangalia maslahi yenu ambayo hata hivyo nina hakika kuwa hamtayapata. hayo yalikuwa ni maoni ya ccm na haina maana kuwa kitendo cha ccm kutoa maoni yake kama chadema walivyotoa ya kwao ni kinyume cha sheria au kukwamisha mchakato. wanaokwamisha mchakato ni vyama vya kiliberali hasa vilipoamua kutoshiriki mjadala wa sheria ya mabadiliko ya katiba. kumbuka kwamba katika sheria hii, chadema wamesusia mara mbili na hii inadhihirisha kuwa hawako tayari kuona katiba mpya inapatikana

nakubaliana na wewe kuwa kuna baadhi ya maoni ambayo CCM,CDM, CUF, NCCR TLP AND TAASISI NYINGINE wametoa kwa nia njema kabisa ya kujenga tena msingi wa nchi yetu, lakini mengine ni kulinda maslahi yao..message yangu ni kwenye hicho kipengele cha Serikali tatu kwanza.. hapo ndipo pame raise attention kubwa..Kuna haja gani ya kuogopa serikali tatu..Mfumo wa muungano uliopo sasa ni hatari kwa hatima ya Muungano.. mfumo huu haupo sustainable kabisa na utasababisha kuvunjika au kuleta manung'uniko kwa pande hizi mbili..
 
Tatizo hapa siyo Chadema V/S CCM.. Ni mstakabali wa Tanzania ya kesho na vizazi vijavyo..Siyo kila kitu kinachopendekezwa na Chama cha siasa au Taasisi yeyote kitapita, la Hasha.. "Funika Kombe mwanaharamu apite"ndicho tunachotaka kukifanya.. Tume walitumia Buisara ya hali ya Juu sana, ili kuokoa Muungano uliopo, ni lazima tusiwe rigid, tuendane na mabadiliko.. Wazanzibari na watanzania walio wengi wanapenda sana muungano, lakini ni lazima tuwe na muunga ambao upo structured vizuri.. Nyumba bila msingi Imara ni ni hatari.. tuweke misingi imara itakayo tupa win win situation baina yetu na Zanzibar na itakayo ondoa malalamiko yasiyo yamsingi..

Wapinzania Kususia Mjadala ni sahihi Kabisa, Ingawa kususa kwa vurungu siyo approach nzuri sana.. Kwa wale Wakristo biblia inatukataza kuketi barazana kwa wenye Mizaha.. lakini Generally ilikuwa ni swala la kutumia Busara zaidi kuliko mabavu..wangewasikiliza hoja zao, na kuipa kamati muda tena wa kupitia mswada ili twende pamoja.. Sidhani kama kweli CDM, CUF, NCCR na wengine ni Mbumbumbu kiasi cha kususa tu bila sababu..hakuna mtu mwenye nia njema na Nchi yetu anaeweza kususia katiba, lakini ni bora sana kuonyesha hisia zako pale ambapo hujaridhika na husikilizwi.. Bunge letu linatawaliwa kwa maamuzi ya Simple majority (NDIYOOOOOOOOO.... waliosema ndiyo wameshinda..).. Tufanye hivo kwenye vutu vingine siyo katiba ya Nchi..
rejea maandishi mekundu kaka.
kwa CHADEMA naweza kukuhakikishia kwa dhati kabisa kuwa wanatamani huu mgogoro wa muswada wanaolumbana na serikali uendelee( na wanashukuru kwa kuuunda na kuutengeneza na kufanikiwa kutokea) kwani inawapa KICK YA KISIASA.
after all, kilichotokea bungeni na yote yaliyotokea huko nyuma ndani ya mjengo ni ule mkakati wa CIVIL DISOBEDIENT na kutaka wananchi wasiwe wanatii amri ya serikali na vyombo vya dola
 
CCM hawakuwa tayari kwa katiba mpya ndio maana hawana hoja za msingi, wanataka kutupeleka-peleka tu, na pia hawa MACCM wamechoka ninyi nyote mashahidi; [ref. PINDA]
 
Back
Top Bottom