Mchakato wa Katiba mpya kuanza Sept. 2023. Baaada ya katiba mpya kupatikana Dp world wanafurushwa

Mchakato wa Katiba mpya kuanza Sept. 2023. Baaada ya katiba mpya kupatikana Dp world wanafurushwa

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
1,242
Reaction score
4,813
Screenshot_20230728-121138.jpg
 
Tulikwisha elimishwa na kuhamasishwa vya kutosha na Tume ya Warioba kwa hiyo tunachotakiwa kufanya ni kuendeleza pale tulipoishia kwa kuandika na kuipigia kura. Vinginevyo kwa sasa na kwa utaratibu huu unaoandaliwa ni kutafuta mbinu za kupiga hela!
 
Back
Top Bottom