M Muuza Kangala JF-Expert Member Joined Jul 21, 2021 Posts 1,242 Reaction score 4,813 Jul 28, 2023 #1
YEHODAYA JF-Expert Member Joined Aug 9, 2015 Posts 36,902 Reaction score 52,001 Jul 28, 2023 #2 Mada yako umeongeza chumvi kama katiba mpya ongelea katiba
I Izia maji JF-Expert Member Joined Dec 1, 2021 Posts 2,997 Reaction score 5,385 Jul 28, 2023 #3 Tulikwisha elimishwa na kuhamasishwa vya kutosha na Tume ya Warioba kwa hiyo tunachotakiwa kufanya ni kuendeleza pale tulipoishia kwa kuandika na kuipigia kura. Vinginevyo kwa sasa na kwa utaratibu huu unaoandaliwa ni kutafuta mbinu za kupiga hela!
Tulikwisha elimishwa na kuhamasishwa vya kutosha na Tume ya Warioba kwa hiyo tunachotakiwa kufanya ni kuendeleza pale tulipoishia kwa kuandika na kuipigia kura. Vinginevyo kwa sasa na kwa utaratibu huu unaoandaliwa ni kutafuta mbinu za kupiga hela!
Karne JF-Expert Member Joined Jun 13, 2016 Posts 8,118 Reaction score 13,547 Jul 28, 2023 #4 Pesa za kuwalipa mnazo?
B Bush Dokta JF-Expert Member Joined Apr 11, 2023 Posts 24,831 Reaction score 45,154 Jul 28, 2023 #5 Muuza Kangala said: View attachment 2701261 Click to expand... Tunachukua maoni tena? Anyway mwanzo sio mbaya.
Muuza Kangala said: View attachment 2701261 Click to expand... Tunachukua maoni tena? Anyway mwanzo sio mbaya.
F fazili JF-Expert Member Joined Jun 10, 2011 Posts 16,427 Reaction score 22,418 Jul 28, 2023 #6 Muuza Kangala said: View attachment 2701261 Click to expand... Nina uhakika katiba mpya haitapatikana kabla ya 2025 tutazamie kuelekea 2030.
Muuza Kangala said: View attachment 2701261 Click to expand... Nina uhakika katiba mpya haitapatikana kabla ya 2025 tutazamie kuelekea 2030.