Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 11,478
- 3,659
wadau nauliza ni hatua gani na taratibu zipi za kufuata katika kuanzisha kipindi, mfano wa kile cha dk 45 cha itv. Nahitaji nami kuanzisha kipindi japo mi sio mwanahabari.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Binafsi sijakuelewa labda tusubili pure great thinkers waje.
Unatengeneza proposal,ambayo inatakiwa ionyeshe cost za wazamini na malipo ya airtime kwa tv station,pia ukiwaza unatengeneza mfano alisia wa hicho kipindi kuongezea ushawishi kwa unaotaka wadhamini icho kipindi.