faru john junior
JF-Expert Member
- Dec 26, 2016
- 1,596
- 1,719
Wanajanzi habari za asubuhi. Ni matumain yangu kuwa wote mko salama kwa wale wagonjwa nawapa pole sana na mwenyezi Mungu atawaponya,sambamba na kauli tata za waziri jafo tuwe wavumilivu.
Naomba niende kwenye mada kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Kuna nyumba inauzwa mkoa wa Mwanza sasa bei kama iko ndani ya uwezo wangu,ningeomba wazoefu wa haya mambo ya kununua na kuuza je mambo gani ya msingi kujua ili usitapeliwa katka biashara za aina hii binafsi nyumba nimetumiwa tu picha ila physically sijaiona na alinitumia hyo picha ni dalali.
Sasa kuepuka mambo ya kwenda mahakaman kwa biashara kutokwenda vzri ni lazima mtu uwe makini kuepuka usumbufu wa aina yoyote.
Naomben ushauri wenu kwani ni bora nikawa proactive kuliko kuwa reactivate
Asante sana
Naomba niende kwenye mada kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Kuna nyumba inauzwa mkoa wa Mwanza sasa bei kama iko ndani ya uwezo wangu,ningeomba wazoefu wa haya mambo ya kununua na kuuza je mambo gani ya msingi kujua ili usitapeliwa katka biashara za aina hii binafsi nyumba nimetumiwa tu picha ila physically sijaiona na alinitumia hyo picha ni dalali.
Sasa kuepuka mambo ya kwenda mahakaman kwa biashara kutokwenda vzri ni lazima mtu uwe makini kuepuka usumbufu wa aina yoyote.
Naomben ushauri wenu kwani ni bora nikawa proactive kuliko kuwa reactivate
Asante sana