Mchambuzi Farhan, hivi ulichokiandika unamaanisha ni kweli hukujua? SIAMINI Ila huenda we ni kundi lile la wanafiki wapiga Mapambio mnaoogopa kukusoa

FARHAN YUKO SAWA, KAONGEA POINT
CAF walitambua mchango wa mal-legend Afcon ndio maana wakawapa mwaliko kina Mrisho Ngasa ila TFF wakala buyu
 
Haya udiclee na interest yako sasa! Ulikuwa ni sehemu ya hao CHAWA mliopendekezwa na Waziri kwenda kula posho za bure huko Ivory Coast? Maana siyo kwa povu hili.
Hujaelewa nilichondika

Soma uelewe sio uje na Akili za Pombe hapa
 
FARHAN YUKO SAWA, KAONGEA POINT
CAF walitambua mchango wa mal-legend Afcon ndio maana wakawapa mwaliko kina Mrisho Ngasa ila TFF wakala buyu
Hio Issue sikatai Mkuuu Swali Langu ni Kauli Yake ya KUSEMA AFCON Y MWAKA HUU NDIO IMEMFUNZA HICHO KITU! KUA MALEGEND WANAFAIDA...Hivi inaingia akilini serious Mkuu??

It Means yeye wakat wanachaguliwa kina Mwijaku aliona Fresh na Ivory coast walivyochagua kuwapa nafasi kina Drogba aliwaona washamba..Au ndio kukaa kimya alipgopa kukosoa wakat inatangazwa kamati?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…