Mchambuzi matata Shaffih Dauda abadili gia angani...

Mchambuzi matata Shaffih Dauda abadili gia angani...

squirtinator

JF-Expert Member
Joined
Sep 20, 2015
Posts
2,765
Reaction score
4,182
Yule mchambuzi matata wa soka aliyeitabiria simba kuburuza mkia ktk kundi lake ameibuka na kudai yeye ndiye ameipa hamasa simba mpaka imefika robo fainali.
 
Yule mchambuzi matata wa soka aliyeitabiria simba kuburuza mkia ktk kundi lake ameibuka na kudai yeye ndiye ameipa hamasa simba mpaka imefika robo fainali.
Mchambuzi underdog hakosi maneno kama mwanasiasa Hahahaha natafakari hapa kwa sauti ya upole sijui droo itakapochezeshwa j5 atatuita neno gani??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe nyoa nywele mpira waachie wengine. Hakuna anayemsikiliza.
 
Na kweli tatizo letu hatupendi ukweli Simba ni kama kapita kwa ngekewa tu
 
Cheap. Cheap. Lete clarification ya maana.
 
Na kweli tatizo letu hatupendi ukweli Simba ni kama kapita kwa ngekewa tu

Teh teh teh

Mliojiita eti wa kimataifa,kumbe mlikuwa,wazurulaji tu,mara zote mlizowakilisha nchi mlituaibisha tu,mapema sana mlikuwa mnatolewa,hamkuweza kutupa raha watz,mnaona wivu mnapoona wenzenu sasa ndio wanawakilisha vilivyo hilo neno la kimataifa,kwa kupata na matokeo chanya,acheni wivu,fanyeni kazi,majungu hayatawapeleka popote ndugu zetu vyura,Simba ni timu inayojielewa,mara zote mmekuwa mnaibeza lakini haikukata tamaa,pambaneni na hali zenu
 
Simba imecheza mpira na imefuzu robo fainali. Uzalendo ni jambo muhimu. Simba imewakilisha nchi vyema hilo lipo wazi. Lakini kuibeza kuidharau na kuita under dog timu ya nyumbani sio heshima. Kauli yake haikuwa na hamasa kwa simba bali ingewakatisha tamaa. Mchambuzi wa mpira yeyote aliyebobea anajua mpira hauna mwenyewe muda wote. Mpira unataka juhudi na hamasa. Simba imefanya kweli. Hongera Simba.. bado timu ya Taifa.. tutaweza tu. Je tutasema Taifa stars under dog? Hapana killa mmoja kwake mkubwa. Come on Taifa stars .. let us do it.
 
Teh teh teh

Mliojiita eti wa kimataifa,kumbe mlikuwa,wazurulaji tu,mara zote mlizowakilisha nchi mlituaibisha tu,mapema sana mlikuwa mnatolewa,hamkuweza kutupa raha watz,mnaona wivu mnapoona wenzenu sasa ndio wanawakilisha vilivyo hilo neno la kimataifa,kwa kupata na matokeo chanya,acheni wivu,fanyeni kazi,majungu hayatawapeleka popote ndugu zetu vyura,Simba ni timu inayojielewa,mara zote mmekuwa mnaibeza lakini haikukata tamaa,pambaneni na hali zenu
We motivate you kamahujui sasa, Leo usingefika hapo kwa ngekewa kama yanga asingekuwa wakimataifa
 
Hizi ngebe zittazimwa soon, mtanambia
Ujinga ni kuacha kushabikia timu yako na
kukalia kuiombea mabaya wapinzani wako.Ndicho kilichowaponza jana kwenye mechi na Lipuli. Na kwa mwenendo huu wa kijinga mtaendelea kuwa washangiliaji.
 
Ujinga ni kuacha kushabikia timu yako na
kukalia kuiombea mabaya wapinzani wako.Ndicho kilichowaponza jana kwenye mechi na Lipuli. Na kwa mwenendo huu wa kijinga mtaendelea kuwa washangiliaji.
Nyani haoni kundule unababaishwa na mpira wakupwa nakujaa chini ya usimamizi wa tff
 
We motivate you kamahujui sasa, Leo usingefika hapo kwa ngekewa kama yanga asingekuwa wakimataifa
Usinichekeshe kila mkiwakilisha taifa mnakuwa wa mwisho au kutolewa na vitimu vya ajabu ajabu tena kwa kufungwa nyumbani.
Give me a break huna lolote la kujivunia.
 
Usinichekeshe kila mkiwakilisha taifa mnakuwa wa mwisho au kutolewa na vitimu vya ajabu ajabu tena kwa kufungwa nyumbani.
Give me a break huna lolote la kujivunia.
Ndomana na kwambia uko obsessed mzigo wakumi uliojitwisha nani Alisha kupata aibu hiyo kama sio simba,tuna mengi yakujivunia kama timu Bora Afrika
 
Ndomana na kwambia uko obsessed mzigo wakumi uliojitwisha nani Alisha kupata aibu hiyo kama sio simba,tuna mengi yakujivunia kama timu Bora Afrika
Hebu yaandike hayo ya kujivunia. Tatizo watu hawahesabu magoli wanahesabu pointi.Ndio maana Vita kawa wa mwisho.
Hata wewe na upopoma wako unaelewa hilo au???
 
Back
Top Bottom