MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
'Sasa ni Saa 12 na tupo hapa Uwanja wa Ndege JNIA tukijiandaa Kuruka kwenda nchini Madagascar. Tunawaombeni Watanzania wote mtuombee tufike Salama, tucheze na tushinde Mechi na twende QATAR Mwakani,' Privaldinho
Chanzo: Clouds FM Sports Extra leo.
Kwahiyo tuwaombee muende mkafungwe tena au? Kwa Umuhimu upi na gani mlionao kwa sasa kwa Watanzania mpaka tuwaombee?
Msitutibue mwishowe tupandwe na Hasira badala ya kuwaombea utakavyo / mtakavyo mwishowe tukawaombea Dreamliner au Bombardier iangukie Baharini na muwe Historia duniani.
Chanzo: Clouds FM Sports Extra leo.
Kwahiyo tuwaombee muende mkafungwe tena au? Kwa Umuhimu upi na gani mlionao kwa sasa kwa Watanzania mpaka tuwaombee?
Msitutibue mwishowe tupandwe na Hasira badala ya kuwaombea utakavyo / mtakavyo mwishowe tukawaombea Dreamliner au Bombardier iangukie Baharini na muwe Historia duniani.