Mchambuzi: Yanga inashindanishwa na Yanga yenyewe

Mchambuzi: Yanga inashindanishwa na Yanga yenyewe

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
19,637
Reaction score
29,473
[emoji2788] @magunga_tz "Tunasema @yangasc ameshuka kiwango ukimlanginisha na wapinzani wa aina gani? kwasababu mpaka sasa kwa wapinzani aliokukutana nao kwenye ligi yeye amekuwa bora kuliko wao wapinzani naamini Yanga Sc

anashindanishwa na daraja ambalo alilitengeneza yeye mwenyewe na kingine hatuwezi kuijadili Yanga wameshuka kwasababu yakukosa magoli tuijadili Yanga kwa utendaji wao wa kazi kiujumla"

NB: Kwa lugha rahisi ni kuwa ....Yanga ni unstoppable.... which means Yanga inashindanishwa na kivuli chake ...timu nyingine zipo mbali sana

Je unakubaliana na hili??
1727505335075.jpg
 
[emoji2788] @magunga_tz "Tunasema @yangasc ameshuka kiwango ukimlanginisha na wapinzani wa aina gani? kwasababu mpaka sasa kwa wapinzani aliokukutana nao kwenye ligi yeye amekuwa bora kuliko wao wapinzani naamini Yanga Sc

anashindanishwa na daraja ambalo alilitengeneza yeye mwenyewe na kingine hatuwezi kuijadili Yanga wameshuka kwasababu yakukosa magoli tuijadili Yanga kwa utendaji wao wa kazi kiujumla"

NB: Kwa lugha rahisi ni kuwa ....Yanga ni unstoppable.... which means Yanga inashindanishwa na kivuli chake ...timu nyingine zipo mbali sana

Je unakubaliana na hili??View attachment 3109179
Always nyuma mwiko anajilinganisha na Simba ndio maana pamoja na kwamba yeye aliwahi kufungwa goli 6 na mnyama lakini zile goli 5 zake zitabaki kuwa kumbukumbu ya milele.
Hii ni rahisi tu haiihitaji kuwa na D 2,ushindi mkubwa dhidi ya mbabe wako,unakupa furaha isiyoisha bila kujali uliupataje.
Hii ndio yanga ninayoijua.Kwa sasa inateseka na ranking za CAF,wako tayari Simba ashuke chini yao ila sio wao kwenda juu ya Simba
 
[emoji2788] @magunga_tz "Tunasema @yangasc ameshuka kiwango ukimlanginisha na wapinzani wa aina gani? kwasababu mpaka sasa kwa wapinzani aliokukutana nao kwenye ligi yeye amekuwa bora kuliko wao wapinzani naamini Yanga Sc

anashindanishwa na daraja ambalo alilitengeneza yeye mwenyewe na kingine hatuwezi kuijadili Yanga wameshuka kwasababu yakukosa magoli tuijadili Yanga kwa utendaji wao wa kazi kiujumla"

NB: Kwa lugha rahisi ni kuwa ....Yanga ni unstoppable.... which means Yanga inashindanishwa na kivuli chake ...timu nyingine zipo mbali sana

Je unakubaliana na hili??View attachment 3109179
Hata Manara anayelipwa kwa ajili ya KUIPAMBA YANGA, hana KIHEREHERE kama wewe!

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Always nyuma mwiko anajilinganisha na Simba ndio maana pamoja na kwamba yeye aliwahi kufungwa goli 6 na mnyama lakini zile goli 5 zake zitabaki kuwa kumbukumbu ya milele.
Hii ni rahisi tu haiihitaji kuwa na D 2,ushindi mkubwa dhidi ya mbabe wako,unakupa furaha isiyoisha bila kujali uliupataje.
Hii ndio yanga ninayoijua.Kwa sasa inateseka na ranking za CAF,wako tayari Simba ashuke chini yao ila sio wao kwenda juu ya Simba
Ndugu mbumbumbu Yanga kwa apa Nchini hana mpinzani, kama unahisi Simba ni mpinzani wa Yanga rudi na kuangalia mechi zao wakipambana baina Yao nani ameibuka mmbabe mara nyingi zaidi.

Wewe chagua kipande chochote kurudi nyuma, kama mechi Tano, 10 , 15 n.k zilizo fatana kwa michuano yote alafu utapata jibu.

Ndio maana tunasema Yanga ndio timu iliyo ifunga Simba maranyigi zaidi kuliko timu yoyote apa Nchini.
 
Ndugu mbumbumbu Yanga kwa apa Nchini hana mpinzani, kama unahisi Simba ni mpinzani wa Yanga rudi na kuangalia mechi zao wakipambana baina Yao nani ameibuka mmbabe mara nyingi zaidi.

Wewe chagua kipande chochote kurudi nyuma, kama mechi Tano, 10 , 15 n.k zilizo fatana kwa michuano yote alafu utapata jibu.

Ndio maana tunasema Yanga ndio timu iliyo ifunga Simba maranyigi zaidi kuliko timu yoyote apa Nchini.
Hana mpinzani una maana Gani? Kwamba yanga hajawahi kukosa vikombe mbele ya timu nyingine. Au ndio wenye akili huko wameshazeeka
 
Ndugu mbumbumbu Yanga kwa apa Nchini hana mpinzani, kama unahisi Simba ni mpinzani wa Yanga rudi na kuangalia mechi zao wakipambana baina Yao nani ameibuka mmbabe mara nyingi zaidi.

Wewe chagua kipande chochote kurudi nyuma, kama mechi Tano, 10 , 15 n.k zilizo fatana kwa michuano yote alafu utapata jibu.

Ndio maana tunasema Yanga ndio timu iliyo ifunga Simba maranyigi zaidi kuliko timu yoyote apa Nchini.
Na timu iliyoifunga yanga mara nyingi zaidi ni ipi?
 
Uto wanaiga tu vitu viliyofanywa miaka iliyopita na Simba mfano kuifunga Polisi goli 7, Coastal goli 8, Horoya goli 7, Uto goli 6, n.k. level ambayoUtopolo haijawahi kufikia.
 
Always nyuma mwiko anajilinganisha na Simba ndio maana pamoja na kwamba yeye aliwahi kufungwa goli 6 na mnyama lakini zile goli 5 zake zitabaki kuwa kumbukumbu ya milele.
Hii ni rahisi tu haiihitaji kuwa na D 2,ushindi mkubwa dhidi ya mbabe wako,unakupa furaha isiyoisha bila kujali uliupataje.
Hii ndio yanga ninayoijua.Kwa sasa inateseka na ranking za CAF,wako tayari Simba ashuke chini yao ila sio wao kwenda juu ya Simba
Simba ni timu iliyofungwa mara nyingi zaidi na Yanga, kuliko timu yoyote katika historia.
 
Ndugu mbumbumbu Yanga kwa apa Nchini hana mpinzani, kama unahisi Simba ni mpinzani wa Yanga rudi na kuangalia mechi zao wakipambana baina Yao nani ameibuka mmbabe mara nyingi zaidi.

Wewe chagua kipande chochote kurudi nyuma, kama mechi Tano, 10 , 15 n.k zilizo fatana kwa michuano yote alafu utapata jibu.

Ndio maana tunasema Yanga ndio timu iliyo ifunga Simba maranyigi zaidi kuliko timu yoyote apa Nchini.
Simba pia ndio timu iliyoifunga Yanga mara nyingi sana kuliko timu yoyote duniani. Unajua kwanini. Ndio timu zilizllokitana mara nyingi zaidi
 
Always nyuma mwiko anajilinganisha na Simba ndio maana pamoja na kwamba yeye aliwahi kufungwa goli 6 na mnyama lakini zile goli 5 zake zitabaki kuwa kumbukumbu ya milele.
Hii ni rahisi tu haiihitaji kuwa na D 2,ushindi mkubwa dhidi ya mbabe wako,unakupa furaha isiyoisha bila kujali uliupataje.
Hii ndio yanga ninayoijua.Kwa sasa inateseka na ranking za CAF,wako tayari Simba ashuke chini yao ila sio wao kwenda juu ya Simba
Hapana mkuu....sikiliza maneno ya mchambuzi
 
Ndugu mbumbumbu Yanga kwa apa Nchini hana mpinzani, kama unahisi Simba ni mpinzani wa Yanga rudi na kuangalia mechi zao wakipambana baina Yao nani ameibuka mmbabe mara nyingi zaidi.

Wewe chagua kipande chochote kurudi nyuma, kama mechi Tano, 10 , 15 n.k zilizo fatana kwa michuano yote alafu utapata jibu.

Ndio maana tunasema Yanga ndio timu iliyo ifunga Simba maranyigi zaidi kuliko timu yoyote apa Nchini.
Yaaah mkuu sahihi
 
Back
Top Bottom