huyu ana lake jambo kwa nini mchana sawa usiku no au unamzunguwa laazizi wako?kwanini unaona sawa kupigiwa mchana?
Sioni tatizo..pokea akishakujulia hali kama hana cha maana unaaga!
Nawapenda wote wanajamvi, hamjamboo!!
Kuna jambo huwa silipendi sijui nyie mnalionaje.
Unakuta watu wanafahamu fika wewe mume/mke wa mtu
Walikuwa na siku nzima ya kukupigia simu kuongea mambo yao ya kipuuzi
ila kwasababu wanazozijua wao wanaamua kupiga usiku na wanajua fika utakua
na my wife/hubby wako.Na watu wa hivi huwa hawana la mana la kusema, zaidi yakuongea kisichoeleweka na kuuliza 'mambo mengine vipi'..
Jamani, mchana mlikuwa wapii?
Haijakaa vizuri. Nyie mwaonaje?
Nawapenda wote wanajamvi, hamjamboo!!
Kuna jambo huwa silipendi sijui nyie mnalionaje.
Unakuta watu wanafahamu fika wewe mume/mke wa mtu
Walikuwa na siku nzima ya kukupigia simu kuongea mambo yao ya kipuuzi
ila kwasababu wanazozijua wao wanaamua kupiga usiku na wanajua fika utakua
na my wife/hubby wako.Na watu wa hivi huwa hawana la mana la kusema, zaidi yakuongea kisichoeleweka na kuuliza 'mambo mengine vipi'..
Jamani, mchana mlikuwa wapii?
Haijakaa vizuri. Nyie mwaonaje?
Mimi niliwahi kugombana na ndugu zangu kuwa wasinipigie simu mchana huo ni muda kazi nalitumikia taifa na wala sitaki mgeni nyumbani kwangu siku za kazi. Simu unapiga kuanzia saa kumi na moja mpaka saa moja na nusu baada ya hapo sipokei simu na nimezima nasubiri taarifa ya habari na wanajua kabisa unless kuwe na emergency kubwa sana watapiga simu ya ndani yangu nooooooooooo.
So mimi mchana hapana simu ya urafiki wala ya undugu ni za kazi tu peke yake
we na wewee hujatuliaa..kwanini unajua una wife then ugawee number yako kwa kila gal unaemtongozaa,ulimbukeni.pili we ulitegemea nini kumtongoza mwanafunzi ambaye kilaa saa atakusumbua.basi ukiwaa unagawa number mwambiaa kuanzia mida flani usipingee...UZIZIIIIIIII TU
Hayupo aliyeconclude kuwa we mnoko?
Well kama hutaki kabisa wapige marufuku au zima simu!kesho akipiga tena itakuaje? je hili ni suluhisho??