Ndugu zangu wana jf naombeni ushauri. Kwa ufupi nataka kufanya biashara ya kusambaza mchanga na kokoto, ila kabla ya kuanza ningependa kujua yafuatayo
. Biashara hii ipoje?
. Sehemu ya kupata malighafi
. Masoko yake yapoje?
. Mtaji kiwango cha chini cha kuanzia
Tafadhali sana naomba ushauri wenu...!!