ukwaju_wa_ kitambo
Senior Member
- Sep 15, 2024
- 150
- 173
AY FT BANANA ZORO & COMPLEX - MCHANGA WA MACHO ..
CHORUS..( BANANA ZORO)
BANANA ZORO..
"nilijaribu kukupenda na mema mengi kwako nilitenda/
moyoni mwako sikuwapo kumbe ulikuwa mchanga wa macho/
Kwanini uliamua kulisariti langu penzi / sikujua ,ningejua nisingelipoteza wangu muda...
AY ( VERSE..1)
ni bora ungekuwa muwazi ukanieleza wazi wazi/ moyo uka loose nyani matokeo yake yakawa manjozi/ sometime nakaa nawaza mpaka natokwa na machozi/ nikikumbuka mabaya, mazuri tuliofanya Enzi/ umenipa wakati mgumu njia panda sina hamu/ nashukuru umenipa ufahamu wa mapenzi kuwa nao ni sumu/ simu , card na ahadi
Gede gede/ kumbe vyote unazunga ilimradi siku ziende / mwenyewe unafahamu tulivyopendana kabla ujapanda ngazi/ sasa unajiona mjanja kwangu unaleta mapozi/ kuna wakati wazo la kisasi linaniijia uwepesi/ nashinda moyo linaondolewa akilini upesi upesi/ safari njema uendako bado nakuombea mema/ ingawa umenifanyia mambo mabaya kusema/ ulinipeleka mbio sikupata hata muda wa kuhema/ na yote nilifanya kwakuwa kwako nilitwama/ sikupenda ukasirike , wala sikupenda uboleke/ nilipenda ufurahi tukiwa wote wewe ucheke/ kumbe vyote nafanya ni bure ukuridhika/ooh kumbe vyote nafanya ukuwa unavitaka/ ni bora ungeniambia unavyotaka mapema/ au kama ukuridhika mi ningejua la kufanya/ moyo wako umeufunga hutaki niingie tena/ nakubali siwezi force unipende Aina noma mama/...
CHORUS ( BANANA ZORO)
BANANA ZORO..
"nilijaribu kukupenda na mema mengi kwako nilitesa/
" Si ungesema Tu"
moyoni mwako sikuwapo kumbe ulikuwa mchanga wa macho/
"Ungenieleza mama"
Kwanini uliamua kulisariti langu penzi / sikujua ,ningejua nisingelipoteza wangu muda...
Verse 2... ( KING CRAZY GK)
"Like father like a son, like a son na Haki ya mungu nimekubali ya kwamba mapenzi sio mzaa sio mzaa/ na king crazy gk nasema si basi siyataki Tena/ kwani maisha yako matatani/ nimekuwa kama kichaa gk wala silali/ na mbaya zaidi naji kaona kama sifai kuwepo hapa Duniani/ niliyempenda amenikataa kaniacha kwenye mataa/ king crazy nashangaa kisa na mkasa sina fedha/ heyi walimwengu........ni kitu Gani ningelifanya kwake/ ajue ni kweli mi nampenda/ aliyoyafanya kwanza ni mengi lakini haya ya sasa ni mwisho/ mbele ya Wazazi amenikaa sababu ya fedha zimemuandaa/ na kitu cha pili bila kujali penzi lake kwake / mbele ya washigaji akanipa kubwa/ fedha zikamuandaa penzi kwake likawa kama kichaa/ na akanipofua macho wala sikuona hatari Kwa lolote alilolifanya/ na kisha akamuacha mwenye fedha akamwanaa /kama mafungu ya nyanya vesi sokoni kariakoo/ nikipata ninachokitaka ona sasa wamesha mdaka..
CHORUS..
(BANANA ZORO..)
"nilijaribu kukupenda maneno mengi kwako nilitenda/
moyoni mwako sikuwapo kumbe ulikuwa mchanga wa macho/
Kwanini uliamua kulisariti langu penzi / sikujua ,ningejua nisingelipoteza wangu muda...
COMPLEX .. VERSE 3..
Ungenieleza ukweli basi penzi kulitapeli/ unavuta singara sheli unakuja kuniacha feli/ pendo la manati kwako likawa Tamati/ kama chapati ukakunja Kuku ukanipa pati/ Mimi mtanashati kwako nikashuka chati/ matusi na maneno kibao mitaa ya Kati/ mpenzi ungeniambia toka kitambo na Enzi/ nisingefanya ushenzi wa penzi ile kishenzi/ ona sasa balaa muda wote nakosa Raha/ mawazo lukuku kichwani Kwangu hii ni karaha/ tulikuwa sambamba kama maji na samaki/ ona sasa unaniacha pekee yangu mi nahamaki/ hakuna noma hili pingo sasa nakoma/ ulimwengu ndio mama kama jay moe sasa nasoma/ na daka mitungi Kwa wingi nifute mawazo faraja ya muda / muda punde mbele vikwazo/ "hii hatari" napatwa toka mwanzo/ ulipotoa wazo kwamba mi minyenyusho / kupata vizipitisho ulitoa vitisho/ nikifuata nyendo zako sheli utanipa fundisho..
CHORUS..
BANANA ZORO..
"nilijaribu kukupenda maneno mengi kwako nilitenda/
moyoni mwako sikuwapo kumbe ulikuwa mchanga wa macho/
Kwanini uliamua kulisariti langu penzi / sikujua ,ningejua nisingelipoteza wangu muda...
🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎶
UKWAJU WA KITAMBO
CHORUS..( BANANA ZORO)
BANANA ZORO..
"nilijaribu kukupenda na mema mengi kwako nilitenda/
moyoni mwako sikuwapo kumbe ulikuwa mchanga wa macho/
Kwanini uliamua kulisariti langu penzi / sikujua ,ningejua nisingelipoteza wangu muda...
AY ( VERSE..1)
ni bora ungekuwa muwazi ukanieleza wazi wazi/ moyo uka loose nyani matokeo yake yakawa manjozi/ sometime nakaa nawaza mpaka natokwa na machozi/ nikikumbuka mabaya, mazuri tuliofanya Enzi/ umenipa wakati mgumu njia panda sina hamu/ nashukuru umenipa ufahamu wa mapenzi kuwa nao ni sumu/ simu , card na ahadi
Gede gede/ kumbe vyote unazunga ilimradi siku ziende / mwenyewe unafahamu tulivyopendana kabla ujapanda ngazi/ sasa unajiona mjanja kwangu unaleta mapozi/ kuna wakati wazo la kisasi linaniijia uwepesi/ nashinda moyo linaondolewa akilini upesi upesi/ safari njema uendako bado nakuombea mema/ ingawa umenifanyia mambo mabaya kusema/ ulinipeleka mbio sikupata hata muda wa kuhema/ na yote nilifanya kwakuwa kwako nilitwama/ sikupenda ukasirike , wala sikupenda uboleke/ nilipenda ufurahi tukiwa wote wewe ucheke/ kumbe vyote nafanya ni bure ukuridhika/ooh kumbe vyote nafanya ukuwa unavitaka/ ni bora ungeniambia unavyotaka mapema/ au kama ukuridhika mi ningejua la kufanya/ moyo wako umeufunga hutaki niingie tena/ nakubali siwezi force unipende Aina noma mama/...
CHORUS ( BANANA ZORO)
BANANA ZORO..
"nilijaribu kukupenda na mema mengi kwako nilitesa/
" Si ungesema Tu"
moyoni mwako sikuwapo kumbe ulikuwa mchanga wa macho/
"Ungenieleza mama"
Kwanini uliamua kulisariti langu penzi / sikujua ,ningejua nisingelipoteza wangu muda...
Verse 2... ( KING CRAZY GK)
"Like father like a son, like a son na Haki ya mungu nimekubali ya kwamba mapenzi sio mzaa sio mzaa/ na king crazy gk nasema si basi siyataki Tena/ kwani maisha yako matatani/ nimekuwa kama kichaa gk wala silali/ na mbaya zaidi naji kaona kama sifai kuwepo hapa Duniani/ niliyempenda amenikataa kaniacha kwenye mataa/ king crazy nashangaa kisa na mkasa sina fedha/ heyi walimwengu........ni kitu Gani ningelifanya kwake/ ajue ni kweli mi nampenda/ aliyoyafanya kwanza ni mengi lakini haya ya sasa ni mwisho/ mbele ya Wazazi amenikaa sababu ya fedha zimemuandaa/ na kitu cha pili bila kujali penzi lake kwake / mbele ya washigaji akanipa kubwa/ fedha zikamuandaa penzi kwake likawa kama kichaa/ na akanipofua macho wala sikuona hatari Kwa lolote alilolifanya/ na kisha akamuacha mwenye fedha akamwanaa /kama mafungu ya nyanya vesi sokoni kariakoo/ nikipata ninachokitaka ona sasa wamesha mdaka..
CHORUS..
(BANANA ZORO..)
"nilijaribu kukupenda maneno mengi kwako nilitenda/
moyoni mwako sikuwapo kumbe ulikuwa mchanga wa macho/
Kwanini uliamua kulisariti langu penzi / sikujua ,ningejua nisingelipoteza wangu muda...
COMPLEX .. VERSE 3..
Ungenieleza ukweli basi penzi kulitapeli/ unavuta singara sheli unakuja kuniacha feli/ pendo la manati kwako likawa Tamati/ kama chapati ukakunja Kuku ukanipa pati/ Mimi mtanashati kwako nikashuka chati/ matusi na maneno kibao mitaa ya Kati/ mpenzi ungeniambia toka kitambo na Enzi/ nisingefanya ushenzi wa penzi ile kishenzi/ ona sasa balaa muda wote nakosa Raha/ mawazo lukuku kichwani Kwangu hii ni karaha/ tulikuwa sambamba kama maji na samaki/ ona sasa unaniacha pekee yangu mi nahamaki/ hakuna noma hili pingo sasa nakoma/ ulimwengu ndio mama kama jay moe sasa nasoma/ na daka mitungi Kwa wingi nifute mawazo faraja ya muda / muda punde mbele vikwazo/ "hii hatari" napatwa toka mwanzo/ ulipotoa wazo kwamba mi minyenyusho / kupata vizipitisho ulitoa vitisho/ nikifuata nyendo zako sheli utanipa fundisho..
CHORUS..
BANANA ZORO..
"nilijaribu kukupenda maneno mengi kwako nilitenda/
moyoni mwako sikuwapo kumbe ulikuwa mchanga wa macho/
Kwanini uliamua kulisariti langu penzi / sikujua ,ningejua nisingelipoteza wangu muda...
🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎶
UKWAJU WA KITAMBO