Mchanganuo wa Biashara (Business Plan) - REQUESTS


Ofisi iko wapi?
 
Bado napokea maelezo zaidi!
Na je, ni lazima kila business ya milioni 20 na zaidi inatakiwa ifunguliwe na kusimamiwa ktk mfumo wa kampuni?
 
Ukitaka kupata zaidi ni lazima utowe. Usiwe mbakhili.

Kama fani yenu kufanya hizi business plans ndogo ndogo mseme tu, ntawasukumia vikazi vingi tu. Msitaharuk.
Umenena, tusukumie vikazi mumii, hapa shilingi haikatizagi! hata jiti tunakamatia kwa bidii zote! keep waiting from you!
 

Patnership hutaki?
 
Mchango maridhawa kabisa.
Hakika ukifuatwa, huwezi shindwa katika Biashara unayoanzisha na mafanikio ni lazima.
 
NITEMBELEE KATIKA: DEVELOPMENT CONSULTANCY SERVICES NITAKUJUZA MENGI ZAIDI, NA UTANI CONTACT KUPITIA FORM HUMO, NADHANI UTAFIKA UNAPOHITAJI.
 
dada nimekukubali si kidogo. nicall 0713 039875 au 0766 643934 napenda uwe mshauri wangu.
 
asante kwa kuwa na moyo wakukomboa vijana kwa bei zenu za chini .Jambo muhimu ni kufanya kazi kwa uaminifu na kukamilisha kile mteja anahitaji kwa muda mfupi
 
hongereni....

Mkuu utakapohitaji huduma yoyote kati ya hizo karibu, we offer high quality service with professionalism and integrity, yet in an unbelievable price. Sisi tumedhamiria kusapot na kufanya tofauti.
 
Mkuu utakapohitaji huduma yoyote kati ya hizo karibu, we offer high quality service with professionalism and integrity, yet in an unbelievable price. Sisi tumedhamiria kusapot na kufanya tofauti.

Dah, ndugu yangu unatisha kwa promo bado tu upo???
 
asante kwa kuwa na moyo wakukomboa vijana kwa bei zenu za chini .Jambo muhimu ni kufanya kazi kwa uaminifu na kukamilisha kile mteja anahitaji kwa muda mfupi

Mkuu that's what we do and we try hard.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…