LOGORIDDIM
JF-Expert Member
- Jan 25, 2013
- 1,470
- 972
i want to open an online shop selling books, magazines and music.. do i need one?
mnatoa na ushauri, mnaishia kuandika tu hayo mambo?
kindly contact me....nahitaji msaaada wa kupata simple business plann formati ambayo nawezakujust fill in the gap na mwisho wake when niki compali full business plann
:help::help:
Habari ndugu,
Kama unahitaji business plan format hebu nichek kwenye 0713 65 98 28 ili tuzungumze kwani nna plan nyingi sana
Nitumie sample
1. Biashara ya duka
2. Biashara ya ufugaji mifugo I.e kuku, nguruwe, mbuzi
Kama utaweza Mkuu nami naomba sampuli ya bankable business plan kwa ajili ya kilimo cha mahindi say kwenye ekari mbili hivi. Unaweza kunipm au kupitia email yangu - trdse2002@yahoo.com kama haikisumbui plz. Natanguliza asante zangu.Habari ndugu,
Kama unahitaji business plan format hebu nichek kwenye 0713 65 98 28 ili tuzungumze kwani nna plan nyingi sana
Kama utaweza Mkuu nami naomba sampuli ya bankable business plan kwa ajili ya kilimo cha mahindi say kwenye ekari mbili hivi. Unaweza kunipm au kupitia email yangu - trdse2002@yahoo.com kama haikisumbui plz. Natanguliza asante zangu.
Habari ndugu yangu!
Natumai umeziona na ubora wake!nmekutumia hizo copy then uone na kama kuna kitu kitasumbua naomba tuwasiliane!
Mkuu mbona sijaziona?? Tuma to maseled9@gmail.com nd I will send u my feed back after nimeona hizo sample
Shukran
mbona haya mambo yanaenda kiukoo? mara nimeshakutumia, mara nipigie...wekeni hadharani tuelimike.
uchoyo huo!
Wadau,
Wale ambao tunahangaika na biashara na harakati za kujikwamua kwa kufanya biashara au shughuli zetu kitaalam, now it is a time.
Kwa wanaohitaji vitu vifuatavyo:
a. Business Plan - Tunaaandika business plan nzuri sana za aina mbalimbali bei inategemeana na aina ila inaazia Tsh 150,000/=
b. Business/Service Proposal - Kuna unahitaji kufanya biashara na mtu/kampuni na unahitaji kumpa ' proposal' ya biashara yako iliyoandikwa kitaalam bei Tsh 200,000/-
c. Memorandum & Article of Association - Tunakutengenezea hii kwa ajili ya kufungua kampuni bei ni kuanzia Tsh 200,000/= tunaweza kumaliza na huduma nyingine zoote za company registration
d. NGO Documentation, - Tunatengeza documents za Ngo kama vile katiba, HR Manual, na registration support bei inaanzia Tsh 200,000/=
Karibuni nyote, bei zetu ndogo ni kwa kuwa tunataka kusapoti moyo wa ujasiriamali haswa haswa kwa vijana.
Mawasiliano,
emicoltd80@gmail.com, +255 754 237973