Naja naja
JF-Expert Member
- Sep 13, 2016
- 747
- 1,454
Kwa wale members ambao wana uzoefu na hii biashara watupe fununu kuhusu hii biashara maana nina taraji kuianza soon mambo yakiwa mazuri.
Taarifa ambazo ninahitaji kuzifahamu kuhusu hii biashara ni pamoja na 1) Bei ya jumla kwa kila bidhaa hapo mfano bei ya jumla ya hereni za kisasa zisizopauka, cheni, bei ya jumla ya kucha bandia,wanja, lipstick nk
2)Nina hitaji kufahamu namna ya kuweza kugundua ipi feki na ipi ni original, mfano namna ya kugundua hereni zisizopauka, cheni zisizopauka.
3)Nina hitaji kufahamu machimbo ambayo ninaweza nikapata hivyo vitu kwa bei ya chini kabisa, japo katika ule uzi wa wafanyabiashara wanaofanya biashara mkoani wanaochukua vitu kariakoo walitaja location ambayo ni mchikichini lakini ilikuwa juu juu sana hawakutoa information ya kushiba.
Karibuni kwa mawazo na ushauri.
Taarifa ambazo ninahitaji kuzifahamu kuhusu hii biashara ni pamoja na 1) Bei ya jumla kwa kila bidhaa hapo mfano bei ya jumla ya hereni za kisasa zisizopauka, cheni, bei ya jumla ya kucha bandia,wanja, lipstick nk
2)Nina hitaji kufahamu namna ya kuweza kugundua ipi feki na ipi ni original, mfano namna ya kugundua hereni zisizopauka, cheni zisizopauka.
3)Nina hitaji kufahamu machimbo ambayo ninaweza nikapata hivyo vitu kwa bei ya chini kabisa, japo katika ule uzi wa wafanyabiashara wanaofanya biashara mkoani wanaochukua vitu kariakoo walitaja location ambayo ni mchikichini lakini ilikuwa juu juu sana hawakutoa information ya kushiba.
Karibuni kwa mawazo na ushauri.