Ibrahim K. Chiki
JF-Expert Member
- Apr 5, 2011
- 594
- 163
Habari wadau..
Nina mtaji wangu wa kama 2milion. Na nina idea ya kufanya biashara ya Duka la Dvds za movie za kibongo na za nje pamoja na Audio cds za music both kwaya na kawaida plus max malipo Nahitaji mchanganuo wa hiii biashara hasa kutoka kwa wataalam wa kuchanganua biashara. Naamini jf ni pahala sahihi ya kuweza kupata ushauri katika yale ninayotaka kuyafanya. Natanguliza shukrani zangu.
(Mchanganuo/Ushauri) v (mchanganuo^ushauri) =?
Nipm tufanye kazi hiyo, bei rahisi tu.
TEMBELEA: KIMI DEVELOPMENT CONSULTANCY SOLUTIONS
kwa hapa dsm mnapatikana wapi mkuuu.??
Nipm tufanye kazi hiyo, bei rahisi tu.
TEMBELEA: KIMI DEVELOPMENT CONSULTANCY SOLUTIONS