ANDERSON YM
Member
- Sep 5, 2016
- 76
- 32
Nyumba vyumba 3 master kimoja, sebule,dining hall,kitchen,inaweza kuchukua tofali za block ngapi?je fundi anaweza kujenga kwa shilingi ngapi,maeneo nayotaka kuijenga ni kijijini!wenye uwelewa tafadhal[emoji122] [emoji122]