ANDERSON YM
Member
- Sep 5, 2016
- 76
- 32
[emoji122] [emoji122]Inategemea na mapatano mcheki huyu 0752 6048 66
Ikiwa utatoa size za rooms zako mfano useme sebule ni foot 12x12 au kama unajua vipimo vya mita nitakupa makadirio yote bila gharama, cha msingi utoe ukubwa wa kila roomNyumba vyumba 3 master kimoja, sebule,dining hall,kitchen,inaweza kuchukua tofali za block ngapi?je fundi anaweza kujenga kwa shilingi ngapi,maeneo nayotaka kuijenga ni kijijini!wenye uwelewa tafadhal[emoji122] [emoji122]
Mm cjui vipimo lkn nataka room ya wastan ambayo kitanda ya 6 by 6 itakaa na sehemu ingine ikabaki kubwa kubwa kidogo kwa ajili ya kuweka kitu ingine[emoji122] [emoji122]Ikiwa utatoa size za rooms zako mfano useme sebule ni foot 12x12 au kama unajua vipimo vya mita nitakupa makadirio yote bila gharama, cha msingi utoe ukubwa wa kila room
Nitumie namba yako pm nikushauri kama hutajaliMm cjui vipimo lkn nataka room ya wastan ambayo kitanda ya 6 by 6 itakaa na sehemu ingine ikabaki kubwa kubwa kidogo kwa ajili ya kuweka kitu ingine[emoji122] [emoji122]
Labda nikupe ufunguo kidogo;Mm cjui vipimo lkn nataka room ya wastan ambayo kitanda ya 6 by 6 itakaa na sehemu ingine ikabaki kubwa kubwa kidogo kwa ajili ya kuweka kitu ingine[emoji122] [emoji122]