nyemenowa tindamanyile
Member
- Jan 28, 2022
- 42
- 43
Wadau naomba kujua KITAALAMU na AFYA ni mchanganyiko upi ni SAIHI kwenye kuchanganya nafaka zetu na kipimo mfano mahindi, mtama, ulezi, muhogo.
Natumiaga hivyo vyote ila nakutana na shauri tofauti tofauti mf kuna wanaosema haifai kuzichanganya sabb zote zina kazi moja hivyo ule kila kimoja kivyake!
Wengi tunatumia mapokeo, je watu wa nutrition mnasemaje?
Natumiaga hivyo vyote ila nakutana na shauri tofauti tofauti mf kuna wanaosema haifai kuzichanganya sabb zote zina kazi moja hivyo ule kila kimoja kivyake!
Wengi tunatumia mapokeo, je watu wa nutrition mnasemaje?