Mchanganyiko wa vyakula vinavyoweza kutengeneza sumu

Mchanganyiko wa vyakula vinavyoweza kutengeneza sumu

pakapori

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2015
Posts
536
Reaction score
626
Habari ya muda huu madaktari wa jf...,

Kama kichwa cha habari kinavyosema, huwa kuna fununu zinazosambaa kuwa kuna baadhi ya vyakula ukivila kwa wakati mmoja huwa vinaenda kutengeneza sumu kali tumboni na kusababisha kifo kwa muda mfupi sana.

Katika pitapita zangu nilikutana na onyo linalohusisha mchanyiko wa ndizi mbivu na mayai ya kuchemsha ni hatari kwa maisha ya binadamu endapo atakula kwa wakati mmoja, kwa wenye uelewa naombeni ufafanuzi juu ya hili tafadhali..,
 
Kindevu94 umeleta mada nzuri kuokoa maisha ya watu na viumbe wengine.Ukichukua asali ukanyunyizia majani ng'ombe wako wakala au mbuzi wote wanakufa+ukitaka kukausha mti ambao una wasiwasi utabomoa nyumba yako mizizi yako chukua mfupa wa mbuzi usio mbichi pigilia popote kwenye mti uzame kama msumari ndani ya mwezi mti unaanza kauka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kindevu94 umeleta mada nzuri kuokoa maisha ya watu na viumbe wengine.Ukichukua asali ukanyunyizia majani ng'ombe wako wakala au mbuzi wote wanakufa+ukitaka kukausha mti ambao una wasiwasi utabomoa nyumba yako mizizi yako chukua mfupa wa mbuzi usio mbichi pigilia popote kwenye mti uzame kama msumari ndani ya mwezi mti unaanza kauka

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa jinsi asali inavyothaminiwa, chances ya ajali ya asali kumwagikia majani haipo unless ufanye kusudi, na hata ukifanya kusudi asali inathamani kuliko mahindi, punje za mahindi kavu plus maji kwenye ndoo zinatosha kumuondoa ngombe/mbuzi, swala la mti kukauka kwa kutumia mfupa wa mbuzi nahisi aliyebuni alikuwa na hamu ya nyama ya mbuzi, maana unaweza kumenya maganda ya mti huo kwa aidha panga au mundo utakauka haraka sana.
 
Ngoja nikajaribu
Nikitoweka kama joseverest alivyotoweka mjue tayari
 
Kindevu94 umeleta mada nzuri kuokoa maisha ya watu na viumbe wengine.Ukichukua asali ukanyunyizia majani ng'ombe wako wakala au mbuzi wote wanakufa+ukitaka kukausha mti ambao una wasiwasi utabomoa nyumba yako mizizi yako chukua mfupa wa mbuzi usio mbichi pigilia popote kwenye mti uzame kama msumari ndani ya mwezi mti unaanza kauka

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna nyingine nackia ni mchanyiko wa asali na limao huchukui round mkuu
 
Kwa jinsi asali inavyothaminiwa, chances ya ajali ya asali kumwagikia majani haipo unless ufanye kusudi, na hata ukifanya kusudi asali inathamani kuliko mahindi, punje za mahindi kavu plus maji kwenye ndoo zinatosha kumuondoa ngombe/mbuzi, swala la mti kukauka kwa kutumia mfupa wa mbuzi nahisi aliyebuni alikuwa na hamu ya nyama ya mbuzi, maana unaweza kumenya maganda ya mti huo kwa aidha panga au mundo utakauka haraka sana.
Mbuzi na ng'ombe wangu walikufa kwa mtindo huo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari ya muda huu madaktari wa jf...,

Kama kichwa cha habari kinavyosema, huwa kuna fununu zinazosambaa kuwa kuna baadhi ya vyakula ukivila kwa wakati mmoja huwa vinaenda kutengeneza sumu kali tumboni na kusababisha kifo kwa muda mfupi sana.

Katika pitapita zangu nilikutana na onyo linalohusisha mchanyiko wa ndizi mbivu na mayai ya kuchemsha ni hatari kwa maisha ya binadamu endapo atakula kwa wakati mmoja, kwa wenye uelewa naombeni ufafanuzi juu ya hili tafadhali..,
dah, nimekula sana utotoni hivyo vitu, na sijawahi kufa.
 
dah, nimekula sana utotoni hivyo vitu, na sijawahi kufa.
Labda ulikua hujajua mkuu.., sasa ushajua kama ni sumu inabidi ule ili uone kama utakufa au lah.., ukileta mrejesho tutajua hujafa ila ukikaa kimya tutajua kuwa mambo tayari hukoo..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom