Msaada wa kisheria juu ya hili:
Kuna mwenyekiti wa kitongoji kanifikia ana pay voucher ya mfuko wa elimu wilaya. Anaomba 5,000/= @ kichwa kwa kila raia mwenye miaka 18 bila kujali kipato chake.Kama familia ina watu 10,inatakiwa 50,000/=
je,kisheria hii ikoje? Kuna jambo natakiwa nilihoji? Au kuna chochote natakiwa nionyeshwe kwanza?
Nisaidieni maana yamenilemea.
Kuna mwenyekiti wa kitongoji kanifikia ana pay voucher ya mfuko wa elimu wilaya. Anaomba 5,000/= @ kichwa kwa kila raia mwenye miaka 18 bila kujali kipato chake.Kama familia ina watu 10,inatakiwa 50,000/=
je,kisheria hii ikoje? Kuna jambo natakiwa nilihoji? Au kuna chochote natakiwa nionyeshwe kwanza?
Nisaidieni maana yamenilemea.