Mchango mfuko wa elimu:

Konzogwe

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2008
Posts
434
Reaction score
156
Msaada wa kisheria juu ya hili:
Kuna mwenyekiti wa kitongoji kanifikia ana pay voucher ya mfuko wa elimu wilaya. Anaomba 5,000/= @ kichwa kwa kila raia mwenye miaka 18 bila kujali kipato chake.Kama familia ina watu 10,inatakiwa 50,000/=
je,kisheria hii ikoje? Kuna jambo natakiwa nilihoji? Au kuna chochote natakiwa nionyeshwe kwanza?
Nisaidieni maana yamenilemea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…