mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,778
- 7,145
Ruttashobolwa Zitto ni nani yako mpaka unahangaika hivi kumtetea??? au na wewe ni mmoja wa wale wanaozunguka nae??? haya yote uliyoandika ni baada ya SUGU kumlipua ZITTO..
Hapo sasa wasanii hao hao hawakumuunga mkono hata kama hawakuwa wana mbeya kile kipindi anagombea leo kashinda ubunge wanamlalamikia huo si uchizi.
Hiyo hoja ya uwaziri kivuli, like seriously wanakaa kumlalamikia waziri kivuli?????? Huyo Fenera Mukangara kafanya nini kwanini wasimlaumu waziri husika ambaye yeye bajeti yake ndio inafanyiwa implementation.
Sugu aseme nini bungeni kuhusu wasanii mtakubali zaidi tu watasema ni mnafiki kwa maslai yake, kama hotuba yake tu ya juzi imeshazua gumzo na watu wameshaanza kumponda. How sure are they kuwa Zitto hana makosa kwani yeye ni Mungu???? Si binadamu tu tena mwanasiasa je kama kweli kafanya huo ufisadi Tanapa na Nssf watakubali unadhan.
Ndio maana nimekwambia kwa sasa wasanii wanahitaji zaidi awareness.
Suala la kujiuliza hao unaotaka watetewe wanamkubali na kumuunga mkono sugu??? Kama wasanii wengi waliokamatwa masikio na clouds hawamuungi sugu na harakati zake kama za makundi tumeona kuna kundi linaloongozwa na mwana fa ambalo wao hawawezi kuamua kitu mpk clouds waamue.. na kuna kundi la akina sugu ambalo soon jide na prof jay wamejiunga karibuni na hutembelea pia dodoma kama wageni wa sugu...
Sasa unadhani hapo hata sugu afanye nini hao akina FA watamuunga mkono. Ikiwa kama kuunda umoja wao ili wapewe studio wamemkatalia sugu na kukubali Ruge awaundie umoja wao na ile Studio kajimilikisha kwake na THT. What else do u need from him?? Kataa kubali Sugu ni mwanaharakati kabla na hata baada ya ubunge. Hayo ya bungeni hayataweza kufuta mazuri aliyofanya kwenye huu muziki wa bongo
Mkuu Matumbo achana nao hao wasanii maana washazoea kuchezewa kama ndomu .
Swali ni dogo tu la kujiuliza...Sugu kama msanii kaanzisha umoja wasanii waungane wawe sauti moja wamekataa kujiunga ila Ruge kama promota kaanzisha umoja wa wasanii wote wamejiunga uko...Hivi hapa utamlaumu Sugu au wasanii? ushawahi ona haki ya msanii ikapiganiwa na promota? Yani promota kama sehemu ya tatizo la wasanii ndio anaanzisha umoja wa kupigania haki ya msanii ukiwepo malipo duni na wasanii wanaona uyo ndio mkombozi....hivi awa watu unawasaidiaje jamani? Au walitaka awe anakuja anawapa pesa?....
Hebu muwe mnasoma andiko kabla ya kuchangia...pia changia kama unajua unachochangia na sio kukurupuka ili tu ili kutetea mtu wako.
Sugu ametajwa kwa sababu ya nafasi yake ya Waziri kivuli wa habari Vijana na Michezo.....kama muda haumtoshi kushughulikia jimbo na wizara hiyo kivuli si atoe taarifa kwa viongozi wake ili kazi hiyo apewe mwingine ?
Hata mimi nimewahi kuhoji mara kadhaa nafasi ya Sugu na matarajio ya wasanii, wanamichezo na wanahabari...ila wasanii walikuwa na matarajio makubwa zaidi coz naye ni msanii.
Na kama alivyosema mleta uzi...juhudi ya Sugu imekuwa kwenye kuvuruga zaidi kuliko kujenga...labda sishangai kwa sababu sioni na sidhani kama anao uwezo zaidi ya huo.
Na sidhani kama wasanii wana matatizo ya haki miliki tuu kama wengine mnavyotaja kuwa anapigania hayo....
Wasanii wana matatizo lukuki, kubwa likiwa ni ukosefu wa ushirikiano...tofauti na mawaziri wenye dhamana, Sugu yeye ni kijana na ni msanii, ndiye angetarajiwa kuwa karibu zaidi na wasanii, kukaa nao na kushauriana nini cha kufanya...
Badala yake yeye ndiye amekuwa kinara wa mivunjiko na kulaumu hata wale ambao wameonyesha juhudi za kuwatengenezea wasanii platform kwake ndio wanakuwa maadui namba moja ili awakwamishe...
Na kama kuna mapungufu si angekaa nao na kutafuta wapi parekebishwe ili wasanii wengi wanufaike ?
Au labda mnifafanulie nini maana ya waziri kivuli ?....ni kukosoa tuuu ahusiki na kujenga ?
Wewe acha siasa...Sugu kapigana sana kuhusu hatimiliki mpaka ikafikia wakati wakasema hazungumzii jimbo lake bungeni ye kutwa wasanii tu umesahau ilo??..Na kwa taharifa yako ishu ya stika za TRA kwenye kazi za wasanii ili kuzilasimisha at least kama ufahamu ni idea ya Sugu na ndio alioipigania kwenye kamati ya maendeleo vijana na michezo mpaka imepitishwa na serikali sasa utekelezaji hadi leo bado ni danadana..Hivi uyu mtu mlitaka awasaidiaje awa vichwa maji?
Suala la kujiuliza hao unaotaka watetewe wanamkubali na kumuunga mkono sugu??? Kama wasanii wengi waliokamatwa masikio na clouds hawamuungi sugu na harakati zake kama za makundi tumeona kuna kundi linaloongozwa na mwana fa ambalo wao hawawezi kuamua kitu mpk clouds waamue.. na kuna kundi la akina sugu ambalo soon jide na prof jay wamejiunga karibuni na hutembelea pia dodoma kama wageni wa sugu...
Sasa unadhani hapo hata sugu afanye nini hao akina FA watamuunga mkono. Ikiwa kama kuunda umoja wao ili wapewe studio wamemkatalia sugu na kukubali Ruge awaundie umoja wao na ile Studio kajimilikisha kwake na THT. What else do u need from him?? Kataa kubali Sugu ni mwanaharakati kabla na hata baada ya ubunge. Hayo ya bungeni hayataweza kufuta mazuri aliyofanya kwenye huu muziki wa bongo
Hili swala la sticker wala haliwasaidii sana wa sanii na ukiangalia kwa sana lina wasaidia serikali kukusanya kodi.Kweli nakumbuka hili la stikaa Sugu ndo kalianzisha,wasanii wa bongo wengi hawajielewi.
Swali ni dogo tu la kujiuliza...Sugu kama msanii kaanzisha umoja wasanii waungane wawe sauti moja wamekataa kujiunga ila Ruge kama promota kaanzisha umoja wa wasanii wote wamejiunga uko...Hivi hapa utamlaumu Sugu au wasanii? ushawahi ona haki ya msanii ikapiganiwa na promota? Yani promota kama sehemu ya tatizo la wasanii ndio anaanzisha umoja wa kupigania haki ya msanii ukiwepo malipo duni na wasanii wanaona uyo ndio mkombozi....hivi awa watu unawasaidiaje jamani? Au walitaka awe anakuja anawapa pesa?....
Mkuu matumbo hatutaki mtu mwenye nia ya kuwagawa watu bali kuwaunganish.
Anacho kosea Sugu ni kutaka kuwagombanisha wasanii na wadau wa sanaa. Tunajua wadau nao wana mapungufu lakini Sugu ana anzisha umoja kwa lengo la kugombanisha watu si kujenga.
Leo hii kwenye mgogoro wa Ruge na Jide ame take side na hili ndio tatizo.
Sugu alitakiwa kuacha mambo ya Malumbano na akajaribu kukaa na Ruge wakajaribu kuwaunganisha wasanii.
Hivi kwanini tuamini kuwa wanao gombana na Ruge hawajamkosea Ruge?
Kwakweli tukiacha migogoro Sugu hana mchango kwenye tasnia ya muziki.
Hili swala la sticker wala haliwasaidii sana wa sanii na ukiangalia kwa sana lina wasaidia serikali kukusanya kodi.
Na ukiangalia wasanii wengi hasa wa bongo flavour hawapeleki Album Sokoni bali wao wanauza single tuu.
Sasa pengine hata Sugu ange hilazimisha serikali na kuishauri kuunda kikosi kazi cha kupambana na wanao burn kazi za wasanii hasa kwenye vibanda kila sehemu nchimi.
Sugu amekuwa yeye ni mtu wa kuchochea migogoro na wadau wa Tasnia hasa muziki na Wasanii wakati alitakiwa afanye kazi ya kuwaunganisha.
Ndio maana nimehoji kazi ya waziri kivuli ni nini ? hata hao mawaziri kamili huo wana changamoto za majimboni kwao pale wanapowatumikia wanainchi wengine pia kwa nyadhfa zao........so sidhani kama kuna utetezi juu ya hilo.
Angeweza kujenga mshikamano wa wasanii hata wa miokoani, bila kuegemea Dar kama ndio kitovu cha sanaa zote nchini sidhani kama angeweza kuzidiwa nguvu na clouds....na ninamaanisha sanaa zote sio muziki peke yake.
Ni lini wasanii wa mikoani wamewahi japo kumsikia, kutembelewa na yeye mwenyewe au hata kutumia uwakilishi wa wabunge wenzake walipo huko mikoani ?
Sasa kama uwaziri kivuli ni kubeba jina tu na kuandaa budget mbadala hivi kuna umuhimu gani wa kuwa na hao mawaziri vivuli ?
Tunapokosa matumani kwa mawaziri kamili basi walau vilio vya wasanii hao vingesikilizwa na waziri vivuli ?
Mkuu matumbo hatutaki mtu mwenye nia ya kuwagawa watu bali kuwaunganish.
Anacho kosea Sugu ni kutaka kuwagombanisha wasanii na wadau wa sanaa. Tunajua wadau nao wana mapungufu lakini Sugu ana anzisha umoja kwa lengo la kugombanisha watu si kujenga.
Leo hii kwenye mgogoro wa Ruge na Jide ame take side na hili ndio tatizo.
Sugu alitakiwa kuacha mambo ya Malumbano na akajaribu kukaa na Ruge wakajaribu kuwaunganisha wasanii.
Hivi kwanini tuamini kuwa wanao gombana na Ruge hawajamkosea Ruge?
Kwakweli tukiacha migogoro Sugu hana mchango kwenye tasnia ya muziki.
Unaleta siasa kwenye muziki .....Ukienda street hali halisi haiko hivyo..muziki unafitina zake pia..uwachukui tu wasanii alafu ukawaweka sehemu moja kama unavyochukulia..Ye alichokijaribu kukipigania ni kuubadili mfumo tatizo la wasanii sio pesa ya matibabu au kuzikana tatzo ni mfumo kama vile sheria za hatimiliki atengenezi Sugu na serikali kuibadili hawataki ye afanyaje na wenzake awamuungi mkono watawaudhi jamaa zetu wale so sauti inakuwa ndogo.
Hivi we una akili kweli?? Akae na Ruge awaunganishe wasanii kwani Ruge ni nani ivi ujioni ulivyo mjinga.....toka lini promota akawa mtetezi wa wasanii??promota ndio awaunganishe wasanii? hivi ujui kuwa mapromota ndio sehemu ya tatizo la wasanii....wasanii wangapi wanamlalamikia uyo ruge alafu unasema eti wakae pamoja ili wafanyaje sasa? ...mtu anajaribu kurekebisha mfumo au ulitaka awagawie hela au? nani kakwambia tatizo la wasanii ni ugomvi kati yao?...tatizo la wasanii ni kipato ,watakuwaje na uhakika wa kipato ni kuubadili mfumo huu mbovu...
Mkuu huu mjadala ukitaka uende vyema achana na lugha hizo na zinaonesha unaanza kupoteza uelekeo.Mimi hata sikumoja sijadili kwa kutumia lugha hizoHivi we una akili kweli?? Akae na Ruge awaunganishe wasanii kwani Ruge ni nani ivi ujioni ulivyo mjinga.....toka lini promota akawa mtetezi wa wasanii??promota ndio awaunganishe wasanii? hivi ujui kuwa mapromota ndio sehemu ya tatizo la wasanii....wasanii wangapi wanamlalamikia uyo ruge alafu unasema eti wakae pamoja ili wafanyaje sasa? ...mtu anajaribu kurekebisha mfumo au ulitaka awagawie hela au? nani kakwambia tatizo la wasanii ni ugomvi kati yao?...tatizo la wasanii ni kipato ,watakuwaje na uhakika wa kipato ni kuubadili mfumo huu mbovu...
Ndio maana nawaambia nyie hamna lolote mnafanya siasa za kumchafua Sugu tu hapa.... Yani unataka Sugu apige marufuku uchomaji wa cd kwa mamlaka yepi na serikali kaipigia kelele tangia sio mbunge na mpaka kawa mbunge,sasa kama serikali haitaki yeye afanyeje??.....Ngojea nikupe elimu kuhusu stika za TRA bab,bidhaa kama dvd au cd ukiwa na stika ya tra inakuwa kitu rasmi kinachokatwa kodi....advantage yake kwa wasanii ni kuwa haitakuwa kazi ya msanii kupita mitaani kukamata cd feki,itakuwa ni tra wanakamata bidhaa feki zinazokwepa kodi....Ni kama unavyoona konyagi isiyo na stika ya tra ukikamatwa nayo ni msala,konyagi hawapiti mtaani kukamata konyagi feki bali tra ndio wanafanya hivyo....hapa cd feki au bidhaa yoyote feki ya sanaa itashugulikiwa na tra
Sugu anaweza akawa haungwi mkono kwa sababu ya mwenendo wake wakupenda migogoro na wadau na hata wasanii.
Anatakiwa aache kukaa kwenye migogoro na awe kiungo na kuhakiKisha watu wana fanya kazi kwa Amani.
Ukiangalia kwenye Mgogoro wa Ruge na Jide, Sugu alichukua upande ambapo tulitegemea angekuwa wa kwanza kuhakikisha Amani kati yao ina patikan.
Yani wanataka kutuaminisha kuwa Jide hana tatizo bali ni Ruge.
Natunajua Ugomvi wa Ruge,Jide na Sugu una rudisha tasnia nyuma maana hawa wote ni watu muhimu na wana wafuasi wengi nyuma yao.
Ruge anaonekana wazi kutaka Amani na hawa watu lakini wao hawataki na Sugu ana nafasi ya kutafuta suluhu lakini yeye amekuwa akifurahia watu wakisema usinizike,sijui kwenye msiba wangu usije.
Kwakweli Sugu ana penda sana Migogoro.