Mchango wa Balozi za Tanzania kwenye kusaidia upatikanaji wa Ajira kwa Watanzania

Mchango wa Balozi za Tanzania kwenye kusaidia upatikanaji wa Ajira kwa Watanzania

Sildenafil Citrate

JF-Expert Member
Joined
Jan 29, 2021
Posts
577
Reaction score
2,595
Naibu waziri wa Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk amesema kuwa Balozi zinatafuta fursa za ajira kwa kuingia mikataba ya ajira nje ya nchi, pia kuhakikisha usalama na maslahi yao.

Serikali kupitia TAESA inawezesha watanzania kuomba ajira pindi zinapotangazwa nje ya nchi.

Balozi Mbarouk amesema pia Serikali inafuatilia matangazo mbalimbali ya ajira yanayotangazwa kutoka nchi mbalimbali, kisha huziwasilisha kwa mamlaka husika.

Amesema haya wakati akijibu Swali la Mbunge mmoja aliyetata kujua mchango wa balozi wa Tanzania katika kusaidia upatikanaji wa ajira kwa Watanzania.

Soma: Balozi zetu toeni fursa kwa Wajasiriamali
 
Mabalozi walikuwa ENZI za Mwalimu Nyerere.
Akina Salim, Mkapa, Mahiga nk.

Hawa waliopo sasa ni zaidi ya..
Vilazaa na Mazuzu.

Kazi za Balozi ni pamoja na KUITANGAZA nchi Anayotokea Katika nchi nyingine.

-ushawishi.
Uwezo wa kutafuta Fedha.
Kuitangaza diplomasia ya Nchi.
Kutangaza msimamo wa nchi nk.

-Kutangaza utalii
Kumtangaza Raslimali zinazopatikana nchini Make Tanzania. Serengeti, Kilimanjaro, Oldphai George nk.

- Kutangaza Mila na Tamaduni zetu.
Maadili, Mavazi, utu, heshima ukarimu nk.

HAWA MABALOZI WALIOPO SASA NI WA HOVYO MNO.
Wanazidiwa hata na wale wa nyumba 10
 
Mabalozi walikuwa ENZI za Mwalimu Nyerere.
Akina Salim, Mkapa, Mahiga nk.

Hawa waliopo sasa ni zaidi ya..
Vilazaa na Mazuzu.

Kazi za Balozi ni pamoja na KUITANGAZA nchi Anayotokea Katika nchi nyingine.

-ushawishi.
Uwezo wa kutafuta Fedha.
Kuitangaza diplomasia ya Nchi.
Kutangaza msimamo wa nchi nk.

-Kutangaza utalii
Kumtangaza Raslimali zinazopatikana nchini Make Tanzania. Serengeti, Kilimanjaro, Oldphai George nk.

- Kutangaza Mila na Tamaduni zetu.
Maadili, Mavazi, utu, heshima ukarimu nk.

HAWA MABALOZI WALIOPO SASA NI WA HOVYO MNO.
Wanazidiwa hata na wale wa nyumba 10
Bila kumsahau mzee wangu balozi Raphael lukindo (rip)
Mabalozi sahv wapowapo tu

Ova
 
Back
Top Bottom