MWANAKWETU 2015
Member
- Jun 29, 2015
- 15
- 9
Habari wanajamvi,
Kuna mfanyakazi mwenzangu hapa ofisini alikopa kam mill.4 kwenye hizi financial institutions alitakiwa arudishe 5.6m pamoja na riba kwa muda wa miezi kumi kila mwezi ni sh.560,000 ameshalipa miezi minne mil.2,240,000, bado mil.3,360,000, hivi juzi jamaa kapata milioni 6 kutokana na mgao wa mauzo ya shamba lao la urithi, je anaomba ushauri alipe deni lote kwa wakati mmoja au aendelee kulipa kwa kila mwezi ili hizo hela afanye investment, aliongea na credit officer akasema hakuna excemption yoyote ile kwa kuwahi kulipa mkopo.
Mimi nimemshauri afanye investment kwani mkataba wa mkopo ulikuwa unategemea mshahara, nakaribisha mawazo yenu manajamvi.
Kuna mfanyakazi mwenzangu hapa ofisini alikopa kam mill.4 kwenye hizi financial institutions alitakiwa arudishe 5.6m pamoja na riba kwa muda wa miezi kumi kila mwezi ni sh.560,000 ameshalipa miezi minne mil.2,240,000, bado mil.3,360,000, hivi juzi jamaa kapata milioni 6 kutokana na mgao wa mauzo ya shamba lao la urithi, je anaomba ushauri alipe deni lote kwa wakati mmoja au aendelee kulipa kwa kila mwezi ili hizo hela afanye investment, aliongea na credit officer akasema hakuna excemption yoyote ile kwa kuwahi kulipa mkopo.
Mimi nimemshauri afanye investment kwani mkataba wa mkopo ulikuwa unategemea mshahara, nakaribisha mawazo yenu manajamvi.