Hi Wana JF habarini za aasubuhi.
Me niko pouwa sana kimwili ila kimawazo sio sana kuna huyu my first born wangu asumbuliwa sana na Mchango yaani usiku kucha kanalia do kiukwelnajisikia vibaya sana hata kazi haiendi vizuri hope kwa wazazi wenzangu mnanielewa before nlikuwa nampa Gripe water lakini naona kama hisaidii sana, nliomba kwa walio na uelewa zaidi wanisaidie katika hili,
But kuna kipingi nlienda DYNAFARM kuna maji fulani hivi waliniambia noi mazuri wamnaita chlorophyll plus guarana wanasema kuwa ni nzuri ss nlitaka kujua kwa wale ambao walisha jaribu kutumia waniambie if iko pouwa au kama kuna the best dawa kwa ajiri ya hiyo kitu.
Asante
Mungu awabariki na asubuhi Njema
Me niko pouwa sana kimwili ila kimawazo sio sana kuna huyu my first born wangu asumbuliwa sana na Mchango yaani usiku kucha kanalia do kiukwelnajisikia vibaya sana hata kazi haiendi vizuri hope kwa wazazi wenzangu mnanielewa before nlikuwa nampa Gripe water lakini naona kama hisaidii sana, nliomba kwa walio na uelewa zaidi wanisaidie katika hili,
But kuna kipingi nlienda DYNAFARM kuna maji fulani hivi waliniambia noi mazuri wamnaita chlorophyll plus guarana wanasema kuwa ni nzuri ss nlitaka kujua kwa wale ambao walisha jaribu kutumia waniambie if iko pouwa au kama kuna the best dawa kwa ajiri ya hiyo kitu.
Asante
Mungu awabariki na asubuhi Njema