ema nuel
JF-Expert Member
- Nov 12, 2017
- 570
- 576
Habari wakuu poleni na majukumu, kama kichwa cha habari hapo juu naombeni msaada wenu kwa wale wenye moyo wa ubinadamu na huruma nahitaji msaada wa mchango wenu ili niweze kukamilisha kibanda changu naamini jf kwa sasa kuna zaidi ya member million 1 so ukiweza kunichangia 500 au 1000 kwa watu 5000 au 10 000 tayari nitakuwa na 2,500 000 au 5,000 000 ambayo itanisaidia kukamilisha pagala langu na kuhamia kiukweli maisha yangu ni magumu sana mtaani kazi nimeachishwa mda na ilikuwa binafsi sina jeuri jijini mama Mwenye nyumba tunasumbuana balaa naishi kwa kubahatisha tu msaada wenu tafadhali... 0769795395
Kutoa ni moyo na sio utajiri na utabarikiwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kutoa ni moyo na sio utajiri na utabarikiwa.
Sent using Jamii Forums mobile app