Tafsiri ya neno Kanisa ama Msikiti..
Maana yake ni nyumba ya IBADA...
Kanisani kutakuwa na Kiongozi, akiwa mbele...MSALABA ama KINYAGO cha Yesu na waumini wakiabudu...
Msikitini kuna kitu kinaitwa QIBLA....atasimama Kiongozi (imamu) na kufuatiwa na Waumini (Maamuma) kwa lengo la kuabudu..
KATIKA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO swala la utii na kuabudu liko wazi kabisa..(Tazama pia mabunge mengine) kuna kitu (wengine) wanaita NGAO...huwa inaingizwa na ASKARI wa Bunge na watu wote kutakiwa kusimama..tazama pia heshima na utii anaopewa SPIKA...
Naomba utafute maana halisi ya neno ABUDU ama IBADA...