BANDOKITITA
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 1,484
- 2,852
Mchawi mpe mwanao akulele, ndivyo unaweza kusema baada ya Rais wa Congo , Felix Tshesekedi, kumteua aliewahi kuwa kiongozi wa waasi bwana Jean Pierre Bemba kuwa waziri wa ulinzi.Hii tafsiri yake ni kuwa "mchawi mpe mwanao akulele". Au ndio tuseme Tsheseefi ameanza kufuata nyayo za Tanzania za maridhiano.
Je hali hii inatoa tafsiri gani kwa siasa na usalama wa Congo.
Je hali hii inatoa tafsiri gani kwa siasa na usalama wa Congo.