THE FIRST BORN
JF-Expert Member
- Apr 24, 2019
- 2,224
- 4,472
Azam hana timu ya kugombania nafasi ya piliNilikua napita Twitter nikakutana na Clip ya shabiki mmoja wa Simba yule Tomboy wa Rasta anasema Kauli ya Ally Kamwe ichunguzwe ety kwanini alisema vile Kwa kujiamini na kweli imetokea.ππππ
Ally Kamwe alisema "Simba hii haiwez shinda Match 5 mfululizo Kamwe"
Yana anasema Viongozi wa wajibike katika Hilo walifanyie kazi daaahππ
Nasema mchawi wa Simba hua ni Simba nyie wenyewe..Hizo Kauli zinaanza taratibu next time itakuja kuja kwann kocha alimtoa flan ndio maana tumefungwa hapo tayar kelele zinaanza na Yanga anajikalia nafasi yake ya 1 mnabaki na Black Starz na Azam kupambania nafas yenu ya 2.
Good morning π΅πΉ
Mo aondoke, atuachie timu yetu iongozwe na HAMIS KigwangalaNilikua napita Twitter nikakutana na Clip ya shabiki mmoja wa Simba yule Tomboy wa Rasta anasema Kauli ya Ally Kamwe ichunguzwe ety kwanini alisema vile Kwa kujiamini na kweli imetokea.ππππ
Ally Kamwe alisema "Simba hii haiwez shinda Match 5 mfululizo Kamwe"
Yana anasema Viongozi wa wajibike katika Hilo walifanyie kazi daaahππ
Nasema mchawi wa Simba hua ni Simba nyie wenyewe..Hizo Kauli zinaanza taratibu next time itakuja kuja kwann kocha alimtoa flan ndio maana tumefungwa hapo tayar kelele zinaanza na Yanga anajikalia nafasi yake ya 1 mnabaki na Black Starz na Azam kupambania nafas yenu ya 2.
Good morning π΅πΉ
DuhAzam hana timu ya kugombania nafasi ya pili
Kwa .tazamo wangu singida black stars wana better team kuliko azam...
Ligi bado mbichi hii, usiwakatie tamaa mapema Azam.Azam hana timu ya kugombania nafasi ya pili
Dirisha dogo wafanye usajili wa maanaLigi bado mbichi hii, usiwakatie tamaa mapema Azam.
Azam Kila dirisha hufanya usajili wa maanaDirisha dogo wafanye usajili wa maana
NaamWatu wanaamini kwasababu wanajua tabia zenu.
KabisaWatu wanaamini kwasababu wanajua tabia zenu.
Tunaomba video clip na picha yakeyule Tomboy wa Rasta