Soon nakuja tupeane mwongozo love!
Soon nakuja tupeane mwongozo love!
Njoo Whatsapp nikutongoze sweetheart...Soon nakuja tupeane mwongozo love!
Santo Sana mtoa mada π€
umekuja na malalamiko ya boom mpaka huku kamanda, ile imeshasolviwa tayari πNdio maana wabunge walitaka wafute Boom ona sasa, mkivimbiwa mnakuja hapa kutapika.
Kwani bado hujaruhusiwa kuingia chumba cha mtihani kwa kutolipa ada ?
Kwan UE imeanza? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndio maana wabunge walitaka wafute Boom ona sasa, mkivimbiwa mnakuja hapa kutapika.
Kwani bado hujaruhusiwa kuingia chumba cha mtihani kwa kutolipa ada ?
Picha tafadhaliKijana wa kiume amesimama na binti wa kike mahali flani, presha ya kijana iko juu, halafu anabadili tu jinsi ya kusimama, hatulii, mara mikono mfukoni, mara akunje nne ya kusimama sijui anaminya nini, halafu hapo chini pamevimba utadhani ana busha dah.
Yaani, mpaka inajulikana kabisa huyu mjamaa anatongoza, na sasa sijui akikubaliwa atatatembeaje na mguu wa tatu umesimama namna ile, network iko 7G...
Si mtafute mahali tulivu mketi chini, muelezane shida, matatizo, na haja binafsi za mioyo na miili yenu vizuri bila mchecheto wala presha; na mtu yeyote asijue au asigundue mnazungumza nini
Bado sanaKwan UE imeanza? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
ππππππKijana wa kiume amesimama na binti wa kike mahali flani, presha ya kijana iko juu, halafu anabadili tu jinsi ya kusimama, hatulii, mara mikono mfukoni, mara akunje nne ya kusimama sijui anaminya nini, halafu hapo chini pamevimba utadhani ana busha dah.
Yaani, mpaka inajulikana kabisa huyu mjamaa anatongoza, na sasa sijui akikubaliwa atatatembeaje na mguu wa tatu umesimama namna ile, network iko 7G...
Si mtafute mahali tulivu mketi chini, muelezane shida, matatizo, na haja binafsi za mioyo na miili yenu vizuri bila mchecheto wala presha; na mtu yeyote asijue au asigundue mnazungumza nini
πππNdio maana wabunge walitaka wafute Boom ona sasa, mkivimbiwa mnakuja hapa kutapika.
Kwani bado hujaruhusiwa kuingia chumba cha mtihani kwa kutolipa ada ?
Kumbe kuna binti wa kiume pia! Nilijua ukisema binti unamaanisha msichana/mwanamke.Kijana wa kiume amesimama na binti wa kike mahali flani
Acha vijana watongoze vile wanaona inafaaKijana wa kiume amesimama na binti wa kike mahali flani, presha ya kijana iko juu, halafu anabadili tu jinsi ya kusimama, hatulii, mara mikono mfukoni, mara akunje nne ya kusimama sijui anaminya nini, halafu hapo chini pamevimba utadhani ana busha dah.
Yaani, mpaka inajulikana kabisa huyu mjamaa anatongoza, na sasa sijui akikubaliwa atatatembeaje na mguu wa tatu umesimama namna ile, network iko 7G...
Si mtafute mahali tulivu mketi chini, muelezane shida, matatizo, na haja binafsi za mioyo na miili yenu vizuri bila mchecheto wala presha; na mtu yeyote asijue au asigundue mnazungumza nini