Anachokifanya jamaa ni uniqueTanzania hakuna wachekeshaji.
Wengi wanaigana wanarudia kile kile
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Kuna siku nilikua namuangalia mpoki dstv anafanya stand up comedy jamaa kuchekesha hajui zaidi kutania watu maumbile yao mfano alianza kuwaongelea hovyo watu wenye meno ya sungura mpk ukimbi mzima baada ya kucheka wakawa wanamshangaaTanzania hakuna wachekeshaji.
Wengi wanaigana wanarudia kile kile
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Joti mbona simuelewagi mimi?
Standup comedy inahitaji skills,talent na akili kubwa sanaKuna siku nilikua namuangalia mpoki dstv anafanya stand up comedy jamaa kuchekesha hajui zaidi kutania watu maumbile yao mfano alianza kuwaongelea hovyo watu wenye meno ya sungura mpk ukimbi mzima baada ya kucheka wakawa wanamshangaa
Tanzania hakuna comedians bali ni watu wanajichekesha wakitaka watu wacheke pia... Stand up comedy za Tanzania ni upuuzi mtupu, mada zao ni shule chuo ndugu wazazi mapenzi au Marafiki.. na hazichekeshi... Hawana maarifa na exposure
Vipi Hakika Reuben? Unamuonaje?Simfahamu jina lake kwa Sasa Tanzania hakuna kama uyu jamaa kwenye comedyView attachment 2563618
Standup comedy inahitaji skills,talent na akili kubwa sana
Tanzania hatuna vipaji vingi vya standup..ukicompare na Kenya
Vipi Hakika Reuben? Unamuonaje?
[emoji23]Jitaje tu jina mkuu hakuna baya.
Ni brainlessKuna siku nilikua namuangalia mpoki dstv anafanya stand up comedy jamaa kuchekesha hajui zaidi kutania watu maumbile yao mfano alianza kuwaongelea hovyo watu wenye meno ya sungura mpk ukimbi mzima baada ya kucheka wakawa wanamshangaa
Sawa chiefOndoa huu upupu kichwani,
Wakenya wanawezakutuzidi mahesabu tu lakini talent sio kitu utaje hapa.
Kenya wametuzid mbali sana huo ndio ukweliStandup comedy inahitaji skills,talent na akili kubwa sana
Tanzania hatuna vipaji vingi vya standup..ukicompare na Kenya