Huko Kenya mkiambiwa ukabila ndio kiini Cha fujo MnabishaHuko Tz nasikia mkiambiwa bodaboda ni laana mnabisha.
Omondi amejiunga na Azimio ?Ila kisiasa Wakenya wametuacha mbali sana pamoja na mapungufu yao Mengi
Omondi akamatwa akiwa amebeba rundo la CV kwenye mkokoteni akimpelekea Rais Ruto Ikulu
Kwa Tanzania Omondi ni Sawa na akina Joti, Masanja Mkandamizaji, Steve Nyerere, Mmawia nk
Ramadan kareem!
Omondi ni JaluoOmondi amejiunga na Azimio ?
Hivi unaamini kwamba alikuwa na rundo la CV za kweli? Yeye alizipataje? Waliomtumia, hata kama wanafika 50, walimtumia ili iweje?>Ila kisiasa Wakenya wametuacha mbali sana pamoja na mapungufu yao Mengi
Omondi akamatwa akiwa amebeba rundo la CV kwenye mkokoteni akimpelekea Rais Ruto Ikulu
Kwa Tanzania Omondi ni Sawa na akina Joti, Masanja Mkandamizaji, Steve Nyerere, Mmawia nk
Ramadan kareem!
Bora ukabila wao ila haki zao wanazijua na wana uthubutuHuko Kenya mkiambiwa ukabila ndio kiini Cha fujo Mnabisha
Hizi CV hazikuwapo wakati wa Uhuru Kenyatta?...anadhihirisha tu hisia zake za ukabila kwa mbinu nyingine! Ingekuwa raila wa kabila lake ndiye rais sasa wala asingeonekana.Mchekeshaji Eric Omondi amekamatwa kwenye barabara ya kuelekea Ikulu ya Nairobi akivuta mkokoteni uliojaa masanduku yenye CV za maelfu ya Wakenya wasio na kazi.
Erick alidai kuwa alikuwa alizipeleka CV hizo Ikulu kwa Rais. Ikumbukwe Rais William Ruto hayupo nchini yupo ziarani Ujerumani.
View attachment 2568704
Hahaha hadi Mmawia ?Ila kisiasa Wakenya wametuacha mbali sana pamoja na mapungufu yao Mengi
Omondi akamatwa akiwa amebeba rundo la CV kwenye mkokoteni akimpelekea Rais Ruto Ikulu
Kwa Tanzania Omondi ni Sawa na akina Joti, Masanja Mkandamizaji, Steve Nyerere, Mmawia nk
Ramadan kareem!