TANZIA Mchekeshaji Frank Patrick (Molingo) afariki dunia

TANZIA Mchekeshaji Frank Patrick (Molingo) afariki dunia

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Kijana Frank Patrick (Mchekeshaji wa Mtandaoni) maarufu Kama Molingo (17) Mkazi wa Wilaya ya Chato Mkoani Geita amefariki dunia usiku wa kuamkia leo December 10,2024 akiwa nyumbani kwao Chato ambako alikuwa akiuguzwa na Mama yake mzazi.

Rafiki yake ambaye alikuwa akiishi nae na kumrekodi vichekesho vyake Mudi Msomali ameiambia Ayo TV kuwa Molingo alikuwa anaugua mara kwa mara na chanzo cha ugonjwa bado hakijajulikana huku akisema muda mwingine alikuwa anavimba mwili na kuishiwa damu Mwilini.

"Molingo Bwana alikuwa anaumwa maradhi hayaeleweki kila wanachopima hawaoni kitu kwahiyo ndio hivyo mara ya kwanza walihisi labda ni Sickle cel (selimundu) walipima akawa yuko sawa wakawa wanahisi bandama mara moyo yaani kiufupi anarudi kwao hatukujua shida hasa ni nini"

"Madaktari walishauri mpelekeni kwao kwahiyo nahisi walikuwa wameshaona ila Mimi tu kama Mtu mzima nilijiongeza nikamwambia Anna itakuwa labda wameona mbali wanashauri mumrudishe kwao kwahiyo ndio hivyo alikuwa anavimba tuu mwili anaishiwa damu mara kwa mara"
 
Kijana Frank Patrick (Mchekeshaji wa Mtandaoni) maarufu Kama Molingo (17) Mkazi wa Wilaya ya Chato Mkoani Geita amefariki dunia usiku wa kuamkia leo December 10,2024 akiwa nyumbani kwao Chato ambako alikuwa akiuguzwa na Mama yake mzazi.

Rafiki yake ambaye alikuwa akiishi nae na kumrekodi vichekesho vyake Mudi Msomali ameiambia Ayo TV kuwa Molingo alikuwa anaugua mara kwa mara na chanzo cha ugonjwa bado hakijajulikana huku akisema muda mwingine alikuwa anavimba mwili na kuishiwa damu Mwilini.

"Molingo Bwana alikuwa anaumwa maradhi hayaeleweki kila wanachopima hawaoni kitu kwahiyo ndio hivyo mara ya kwanza walihisi labda ni Sickle cel (selimundu) walipima akawa yuko sawa wakawa wanahisi bandama mara moyo yaani kiufupi anarudi kwao hatukujua shida hasa ni nini"

"Madaktari walishauri mpelekeni kwao kwahiyo nahisi walikuwa wameshaona ila Mimi tu kama Mtu mzima nilijiongeza nikamwambia Anna itakuwa labda wameona mbali wanashauri mumrudishe kwao kwahiyo ndio hivyo alikuwa anavimba tuu mwili anaishiwa damu mara kwa mara"
View attachment 3173507
Apumzike salama huko aliko.
 
Kijana Frank Patrick (Mchekeshaji wa Mtandaoni) maarufu Kama Molingo (17) Mkazi wa Wilaya ya Chato Mkoani Geita amefariki dunia usiku wa kuamkia leo December 10,2024 akiwa nyumbani kwao Chato ambako alikuwa akiuguzwa na Mama yake mzazi.

Rafiki yake ambaye alikuwa akiishi nae na kumrekodi vichekesho vyake Mudi Msomali ameiambia Ayo TV kuwa Molingo alikuwa anaugua mara kwa mara na chanzo cha ugonjwa bado hakijajulikana huku akisema muda mwingine alikuwa anavimba mwili na kuishiwa damu Mwilini.

"Molingo Bwana alikuwa anaumwa maradhi hayaeleweki kila wanachopima hawaoni kitu kwahiyo ndio hivyo mara ya kwanza walihisi labda ni Sickle cel (selimundu) walipima akawa yuko sawa wakawa wanahisi bandama mara moyo yaani kiufupi anarudi kwao hatukujua shida hasa ni nini"

"Madaktari walishauri mpelekeni kwao kwahiyo nahisi walikuwa wameshaona ila Mimi tu kama Mtu mzima nilijiongeza nikamwambia Anna itakuwa labda wameona mbali wanashauri mumrudishe kwao kwahiyo ndio hivyo alikuwa anavimba tuu mwili anaishiwa damu mara kwa mara"
R.I .P gentleman
 
Tanzania vijana wengi hawafaidiki na kazi zao .

Dogo Kama huyu watu walimtumia wakapiga hela walivyoona amechuja wakamtupilia mbali

Leo hii anaumwa anakosa matibabu mazuri

Madaktari wa kibongo hizi ndo huwa habari wakiona hauna uwezo wa kufanya vipimo vikubwa wanasema mpelekeni nyumbani.

Huyu kafariki Kwa kukosa hela hamna kingine
 
Back
Top Bottom