Bonde la Baraka
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 4,580
- 7,943
Masahihisho:Ni kweli mkuu, marehemu Isack Gamba alipita pale, Regina Mwalekwa, Rose chitala na wengine wengi chimbuko lao ni pale
[emoji3][emoji3][emoji3]Zembwela IQ ndogo sana niliacha kusikiliza Super mix tangu aondoke Baruti.
Kwamba wasafi media kukabiliana na wengine nikuwachukua walopikwa. kuwapika wa kwao wanaona wanachelewa ....Mtangazaji maarufu wa East Africa redio, Zembwela amejiunga rasmi Leo na Wasafi FM
Ameungana na Maulid Kitenge katika kipindi cha Magazetini wakichambua wote habari hizo
View attachment 1241544
Ni Professional DoctorKwani Zembwela ni mtangazaji?
Kumchukua Millard ni sawa na timu ya wananchi kumsajili Virgril Van Dijik, hawezi kukubali kwa sababu yeye tu brand yake inakimbizana nao wasafi.Bado mchomvu,milard na fetty
Wasafi haku mikoani hatuipati kabisaaaKumchukua Millard ni sawa na timu ya wananchi kumsajili Virgril Van Dijik, hawezi kukubali kwa sababu yeye tu brand yake inakimbizana nao wasafi.
Hao waliosajiliwa hapo wote kuishi nje ya mishahara yao ni waoga.
Kwa hiyo mtu akikushika mkono akikusaidia ukapata kazi fulani then ukajifunzia kwake iyo kazi mpaka uka i master hairuhusiwi kuama etii???Mmmh.... huyu jamaa vipi tena?EARadio imemfanya amejua kutangaza licha ya yale mapungufu,halafu anahama ana Wasafi....?Au kuna namna hapa Wasafi wanafanya na baadhi yakampuni halafu watarudi?
Acha masiala wewe brand ya wasafi unaweza kuifananisha na huyo millardayo ambaye anafahamita tz na Kenya tu wakati brand ya wasafi inafahamika dunianiKumchukua Millard ni sawa na timu ya wananchi kumsajili Virgril Van Dijik, hawezi kukubali kwa sababu yeye tu brand yake inakimbizana nao wasafi.
Hao waliosajiliwa hapo wote kuishi nje ya mishahara yao ni waoga.
subirini miaka miwili.Wasafi haku mikoani hatuipati kabisaaa
Mara nyingi nasikia ukitaka biashara yako kama iyo ikue na iwe nzuri zaidi unawachukua watu maarufu wenye majina unawaajiriMmmh.... huyu jamaa vipi tena?EARadio imemfanya amejua kutangaza licha ya yale mapungufu,halafu anahama ana Wasafi....?Au kuna namna hapa Wasafi wanafanya na baadhi yakampuni halafu watarudi?
Halafu aliondoka kwa mbwe mbwe sana na majigambo.E fm kama ni wajanja wamrudishe kicheko aka chalii ya marangu kidogo anaweza changamsha maana kuke clouds kaenda kupotea kabisa hasikiki tena marehemu ruge mjanja sana alienda kumficha akamuua kiushabiki
Ulicho andika n ushabiki maandaziAcha masiala wewe brand ya wasafi unaweza kuifananisha na huyo millardayo ambaye anafahamita tz na Kenya tu wakati brand ya wasafi inafahamika duniani
I agree....... Muhimu ni kuondoka kwa Heshima.Hio sababu ni dhaifu..mtu akikusaidia haimaanishi inatakiwa uwe kijakazi/mtumwa/mfanyakazi wake daima..Saidia sepa zako. Au wewe hujawahi kusaidiwa? Kama ndio je wote waliokusaidia kwa lolote upo nao karibu mno?