Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
Hajaandika kiushabiki, alichokiandika ni ukweli mtupu.Ulicho andika n ushabiki maandazi
ulichokisema ni ushabiki maandazi na ukitaka kujua umeongea pumba fungua uzi wako alafu andika wasafi ni sawa na brand ya millardayo alafu angalie reaction ya wadau ndo utajua Kati yangu na Nani anatoa hoja ya kishabikiUlicho andika n ushabiki maandazi
Bado unaishi kwenu inaonekanaMmmh.... huyu jamaa vipi tena?EARadio imemfanya amejua kutangaza licha ya yale mapungufu,halafu anahama ana Wasafi....?Au kuna namna hapa Wasafi wanafanya na baadhi yakampuni halafu watarudi?
asirudie tena kuongea pumba Kama aliongea Leo katika sector ya burudani tz hakuna brand kubwa Kama wasafiHajaandika kiushabiki, alichokiandika ni ukweli mtupu.
Mkuu radio ya wasafi mwisho kusikika kongowe pugu kibamba na bunjuAcha masiala wewe brand ya wasafi unaweza kuifananisha na huyo millardayo ambaye anafahamita tz na Kenya tu wakati brand ya wasafi inafahamika duniani
Mkuu weka wasafi media na Millard Ayo Nani ana platform kubwaasirudie tena kuongea pumba Kama aliongea Leo katika sector ya burudani tz hakuna brand kubwa Kama wasafi
Huyo kazungumzia brand ya wasafi sio radio ukizungumzia brand ya wasafi utagusa vitu vingi ikiwemo label ya wasafi niambie Kati ya label ya wasafi na huyo millardayo Nani anafahamika zaidi na ipi inaingiza hela nyingi?Mkuu radio ya wasafi mwisho kusikika kongowe pugu kibamba na bunju
Kwenye hiyo Achana na Millard Ayo
Hapo uwezi kumtoa diamond maana diamond ndio wasafi na wasafi ndio diamond na diamond ndio amezaa wasafi kwahiyo ni ngumu kutenganisha hivyo vitu vimiliMkuu weka wasafi media na Millard Ayo Nani ana platform kubwa
Kumbuka unaongelea wasafi media sio Diamond
Zembwela ni fundi namkubali sana Nina imani atasuka na kipindi cha uswahilini kwenye wasafi tvMtangazaji maarufu wa East Africa redio, Zembwela amejiunga rasmi Leo na Wasafi FM
Ameungana na Maulid Kitenge katika kipindi cha Magazetini wakichambua wote habari hizo
View attachment 1241544
Ila watu wa aina kama ya kwako ndio mnamlaumu Harmonize kutoka Wasafi.Hio sababu ni dhaifu..mtu akikusaidia haimaanishi inatakiwa uwe kijakazi/mtumwa/mfanyakazi wake daima..Saidia sepa zako. Au wewe hujawahi kusaidiwa? Kama ndio je wote waliokusaidia kwa lolote upo nao karibu mno?
Green pasture vs greener pasture only nomad pastoralists understand thisMmmh.... huyu jamaa vipi tena?EARadio imemfanya amejua kutangaza licha ya yale mapungufu,halafu anahama ana Wasafi....?Au kuna namna hapa Wasafi wanafanya na baadhi yakampuni halafu watarudi?
kama wachezaji tu, Timu inaweza kukulea tokea ukiwa mdogo lakini ukikuwa unahitaji maslahi zaidi,Mmmh.... huyu jamaa vipi tena?EARadio imemfanya amejua kutangaza licha ya yale mapungufu,halafu anahama ana Wasafi....?Au kuna namna hapa Wasafi wanafanya na baadhi yakampuni halafu watarudi?
Basi tuweke ayo tv na wasafi tv mpambano uanzie apoHapo uwezi kumtoa diamond maana diamond ndio wasafi na wasafi ndio diamond na diamond ndio amezaa wasafi kwahiyo ni ngumu kutenganisha hivyo vitu vimili
penda kazi usipende ofisiMmmh.... huyu jamaa vipi tena?EARadio imemfanya amejua kutangaza licha ya yale mapungufu,halafu anahama ana Wasafi....?Au kuna namna hapa Wasafi wanafanya na baadhi yakampuni halafu watarudi?
Huwezi kufananisha wasafi tv na online tv nikuwakosea heshima wasafi labda ayo tv uifananishe na dauda tv.Basi tuweke ayo tv na wasafi tv mpambano uanzie apo
Nilichomaanisha WASAFI FM hawana ubavu wa kumsajili millard ayo kabisa, millard ayo kama brand inakimbizana na wasafi fm, halafu wamsajili! Wanaweza kuwasajili hao waoga wa maisha tu ambao hawawezi kujiajiri.Huyo kazungumzia brand ya wasafi sio radio ukizungumzia brand ya wasafi utagusa vitu vingi ikiwemo label ya wasafi niambie Kati ya label ya wasafi na huyo millardayo Nani anafahamika zaidi na ipi inaingiza hela nyingi?
Hapo kaongelea Millard Ayo na Hao waliosajiliwa mkuuHuyo kazungumzia brand ya wasafi sio radio ukizungumzia brand ya wasafi utagusa vitu vingi ikiwemo label ya wasafi niambie Kati ya label ya wasafi na huyo millardayo Nani anafahamika zaidi na ipi inaingiza hela nyingi?
Tatizo lako unajisahau yeye amesema wasafi hawawezi kumsajili millardayo ndo nikamjibu hivyo, millardayo ameajiliwa na clouds Kama ameweza kuajiliwa na clouds wasafi wanashindwaje kumsajili?Hapo kaongelea Millard Ayo na Hao waliosajiliwa mkuu