Demi JF-Expert Member Joined Nov 22, 2016 Posts 40,466 Reaction score 88,695 Oct 24, 2019 #121 Slim5 said: Nakusalimu Click to expand... Asante kaka, mi mzima
Kizibo JF-Expert Member Joined Jul 3, 2018 Posts 4,033 Reaction score 8,805 Oct 24, 2019 #122 Nedago said: Watarudi?kwahiyo kuna kuhazimana watangazaji siku hizi mkuu? Tena kwa washindani wako? poor thinking capacity. Click to expand... Kuhazimana ndo kufanyaje???
Nedago said: Watarudi?kwahiyo kuna kuhazimana watangazaji siku hizi mkuu? Tena kwa washindani wako? poor thinking capacity. Click to expand... Kuhazimana ndo kufanyaje???
sab JF-Expert Member Joined Jan 25, 2013 Posts 5,723 Reaction score 4,286 Nov 7, 2019 #123 johnthebaptist said: Kwani Zembwela ni mtangazaji? Click to expand... Acha chuki binafsi kwani unataka kusema ni nani sasa
johnthebaptist said: Kwani Zembwela ni mtangazaji? Click to expand... Acha chuki binafsi kwani unataka kusema ni nani sasa
sab JF-Expert Member Joined Jan 25, 2013 Posts 5,723 Reaction score 4,286 Nov 7, 2019 #124 Kweli kabisa, wengi wamejifunzia pale na wanajua kabisa ipp ni chuo chao cha mafunzo mng'ato said: IPP(ITV/RADIO ONE/EATV/RADIO) pale pamewatoa watangazaji wengi sana ni kama chuo pale wakishabobea wanasepa zao kutafuta maisha sehemu nyingine na maisha yanaendelea fresh kabisa. Click to expand...
Kweli kabisa, wengi wamejifunzia pale na wanajua kabisa ipp ni chuo chao cha mafunzo mng'ato said: IPP(ITV/RADIO ONE/EATV/RADIO) pale pamewatoa watangazaji wengi sana ni kama chuo pale wakishabobea wanasepa zao kutafuta maisha sehemu nyingine na maisha yanaendelea fresh kabisa. Click to expand...
Smart Guy JF-Expert Member Joined Dec 19, 2016 Posts 6,808 Reaction score 6,934 Nov 7, 2019 #125 chenjichenji said: [emoji3][emoji3][emoji3] Mimi huwa naona anapiga piga kelele tu. Click to expand... Ha ha ha!!
chenjichenji said: [emoji3][emoji3][emoji3] Mimi huwa naona anapiga piga kelele tu. Click to expand... Ha ha ha!!
J johnthebaptist JF-Expert Member Joined May 27, 2014 Posts 97,869 Reaction score 171,716 Nov 7, 2019 #126 sab said: Acha chuki binafsi kwani unataka kusema ni nani sasa Click to expand... Mchekeshaji