Mchele kutoka nje tupeane ''connection'' kabla haujafika kwa dalali

Siachi hela

Senior Member
Joined
Jun 17, 2022
Posts
136
Reaction score
248
Hivi majuzi Serikali imetangaza kuruhusu wafanyabiashara kuingiza mchele kutoka nje tani elfu 90.

Rai yangu kwa wadau na wafanyabiashara wenzangu wa nafaka ni kupata connection ya wasambazaji rasmi wa mchele huo ili tuupate kwa bei rasmi ambayo haitakuwa na udalali.

NB: Nipo Mwanza, naomba ushirikiano wenu. Pia ni muhmu kwa wafanyabiashara wengine kuwafahamu wasambazaji rasmi kwa maeneo yao.
 
Unahitaji huo mchele kiasi gani?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Upo mbona kilo 3k na wafanyabiashara wanachanganya na mingine wapate faida
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…