Hi guys,
Kwa mchele mzuri kabisa, ambao ukipika kiubwabwa chako kwanza kinakuwa kitamu pili kinanukia mpaka mtaa wa 7 huko, usisite kutuagiza, bei inaanzia 1500/= tu kwa kilo moja.
Pia tuna mafuta safi na khalisi kabisa ya alizeti Lita 3 kwa tsh. 17,000/= na Lita 5 kwa tsh. 28,000/= tu za kitanzania.
Tupo Dar es Salaam - Kinyerezi, kwa mawasiliano zaidi tutafute kwa namba 0744-302922, 0688-115131 pia tunapatikana kwa watsap namba 0718-072707,
Delivery mpaka mlangoni kwako inapatikana kwa uaminifu mkubwa kabisa.
NB; Kama huamini kama mchele ni mzuri, nakuja kukupikia huo ubwabwa Mimi mwenyewe walaqhi'
Karibuni sana sana.
View attachment 1984781View attachment 1984782View attachment 1984784