Mchele ndiyo nafaka inayoliwa zaidi duniani ikifuatiwa na ngano

Mchele ndiyo nafaka inayoliwa zaidi duniani ikifuatiwa na ngano

Anita Kajembe

JF-Expert Member
Joined
Jun 29, 2021
Posts
215
Reaction score
487
Mchele uligundulika miaka 15,000 iliyopita katika mabonde nchini ya milima huko China na Brazil. Mbegu za awali Brazil zilipotea wenyeji hawakuwa makini sana katika kilimo cha mpunga.

Mchele ni nafaka iliyowatajirisha wafanyabiashara kwa miaka mingi. Miaka ya mwanzoni mchele ulikuwa ni chakula cha matajiri au kwa sherehe maalum.

Ni miaka 100 tu iliyopita kutokana na mapinduzi ya kilimo na ubora wa njia za usafirishaji, mchele umekuwa ni chakula cha kawaida.

Unapokula mchele upe heshima yake.

1625143565155.png

 
Kiporo cha wali huwa kinakuwaga kitamuuuu sanaa

..... kwa TZ mihogo (sio nafaka) ndo baba lao
 
Mchele uligundulika miaka 15,000 iliyopita katika mabonde nchini ya milima huko China na Brazil. Mbegu za awali Brazil zilipotea wenyeji hawakuwa makini sana katika kilimo cha mpunga.

Mchele ni nafaka iliyowatajirisha wafanyabiashara kwa miaka mingi. Miaka ya mwanzoni mchele ulikuwa ni chakula cha matajiri au kwa sherehe maalum.

Ni miaka 100 tu iliyopita kutokana na mapinduzi ya kilimo na ubora wa njia za usafirishaji, mchele umekuwa ni chakula cha kawaida.

Unapokula mchele upe heshima yake.
Tarime hatuli haya mavitu kama msosi mkuu tunakula wali wakati tukisubiria chakula kiive.
 
kiporo cha wali huwa kinakuwaga kitamuuuu sanaa

..... kwa TZ mihogo (sio nafaka) ndo baba lao
Sema kwa Dar sio tz, mikoani mingine mihogo hailiwi kama inavoliwa Dar, tofauti na mchele ambao kila mkoa utaukuta na si ajabu kwa bei zinazoshabihiana.
 
Mchele uligundulika miaka 15,000 iliyopita katika mabonde nchini ya milima huko China na Brazil. Mbegu za awali Brazil zilipotea wenyeji hawakuwa makini sana katika kilimo cha mpunga.

Mchele ni nafaka iliyowatajirisha wafanyabiashara kwa miaka mingi. Miaka ya mwanzoni mchele ulikuwa ni chakula cha matajiri au kwa sherehe maalum.

Ni miaka 100 tu iliyopita kutokana na mapinduzi ya kilimo na ubora wa njia za usafirishaji, mchele umekuwa ni chakula cha kawaida.

Unapokula mchele upe heshima yake.
Nazani kinacho changia ni ASIA kuwa na Population kubwa sana na ndo wanako lima kwa wingi Mpunga, China na India, Veitnam, Thailand na wengineo ASIA ni watumiaji wakuu wa Mchele na huko ndiko kuliko na population ya kutisha.

Ila Ulaya na Mashariki ya kati wanatumia sana Ngano,
 
Zamani sana, sio kwa sasa, hii ilikuwa miaka ya 90 huko ila now kwenye sherehe naona Wali ndo mwingi kuliko Ugari,
Hahaahaahaa inamaana ndugu zetu kina muraa ubwabwa ni Kama bites tu halafu linapikwa Bondo Kama chakula Sasa!

Mura rete ugari Ture

Unaturetea wari watu wazima Kama sisi huo tuwaachie wanaume wa Dar es saraaam huooo

(In kurya mother tongue voices)
😂😂😂😂😂
 
Kama una kisukari au pressure epuka mchele na hasa kama uko above 40
 
Dah! Ukienda Ifakara msimu huu, huwezi kuondoka mpaka mwezi wa 11!! Yaani ni bandika bandua!! Asubuhi wali, mchana wali na usiku wali kwa Mlamu kalia ndili!! Au kwa ndipi/njuju/kitoga!!!

Sherehe za Komunio ni kila nyumba! Wali wa kutosha, togwa la kutosha na pombe ya mpunga! Ukifika mwezi wa 12, unakuta wameshatumia sehemu kubwa ya mavuno, na hivyo kubakiza mpunga wa mbegu tu, kwa ajili ya kumwaga au kupandikiza kwenye vitalu mwezi January/February!!
 
Nazani kinacho changia ni ASIA kuwa na Population kubwa sana na ndo wanako lima kwa wingi Mpunga, China na India, Veitnam, Thailand na wengineo ASIA ni watumiaji wakuu wa Mchele na huko ndiko kuliko na population ya kutisha.

Ila Ulaya na Mashariki ya kati wanatumia sana Ngano,
Kutokana na uhamiaji, Ulaya ina raia wengi wenye asili ya China, Mashariki ya Kati na Mashariki ya Mbali. Ulaya ni watumiaji wakubwa wa mcheLe. Rice and Curry hupikwa hata Bungeni.
 
Ninawaza tu hizo siku mchele ulipokua hadim, mume ameleta mchele mke uunguze wali. Unaweza kupewa talaka.
 
Back
Top Bottom