Mchele umeshuka Bei, nipo hapa mtaani naona mchele mzuri bei 2600

Mchele umeshuka Bei, nipo hapa mtaani naona mchele mzuri bei 2600

DR HAYA LAND

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2017
Posts
23,928
Reaction score
63,499
Nimenunua mchele mzuri hapa Temeke 2600 ndio naenda kupika pia kwa pembeni nimeona Mwingine sh 2500 mzuri na wenyewe pia.

Hakika Jambo hili ni Jambo Jema Sana kiukweli.

Update
Mchele ni mtamu Sana ndo napakua Muda huu
 
Nimenunua mchele mzuri hapa Temeke 2600 ndo naenda kupika pia kwa pembeni nimeona Mwingine sh 2500 mzuri na wenyewe pia.

Hakika Jambo hili ni Jambo Jema Sana kiukweli.
Huo ni mchele uliojaa chenga, grade 1 ni 3300
 
Ivi mnaongelea mchele au ushoga?maana nyuzi ilivyo na comment zinazoendelea ni majanga
 
Back
Top Bottom