Benno Bongo
JF-Expert Member
- Jun 10, 2017
- 620
- 704
Kuna mchele unauzwa na kampuni ya Korie wanaita mchele wa mbeya upo kwenye package ya 5kg, huu mchele ni utapeli mtupu wamepack mchele wa kitumbo halafu wanaubrand kama mchele wa mbeya ili wauze bei juu.