Mchengerwa aagiza Mkandarasi kutopewa mradi mpya, huku waliopaswa kumaliza kazi Februari wasipate hata kazi ya shilingi mia tano mpaka wamalize viporo

The Watchman

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
896
Reaction score
1,427
Mchengerwa ametoa agizo hilo katika hafla ya utiaji saini wa mkataba wa ujenzi wa Soko Kuu la Majengo na vituo vya daladala jijini Dodoma kupitia mradi wa uboreshaji miundombinu ya Miji (TACTIC) awamu ya pili unaotekelezwa chini ya Wakala wa Barabara za Mijini na Vijijini (TARURA).


Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…