LGE2024 Mchengerwa: Baadhi ya maeneo kulikotokea sintofahamu, mbalimbali watafanya uchaguzi kesho November 28, 2024

LGE2024 Mchengerwa: Baadhi ya maeneo kulikotokea sintofahamu, mbalimbali watafanya uchaguzi kesho November 28, 2024

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,



Amesema Mchengerwa wakati anahojiwa na mwandishi wa TBC, kuwa kuna baadhi ya maeneo ambayo kumetoa sintofahamu mbalimbali, hasa maeneo ya Morogoro kuwa amewaambia watafanya uchaguzi kesho (Novemba 28, 2024) kwenye kata moja Ruaha ambako kulikuwa na changamoto kubwa upande wa karatasi za kupigia.

Kupata taarifa na matukio ya kimkoa kuhusu Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Na kule ambako kulikuwa na changamoto ndogo ndogo waliongezewa muda baada ya kumaliza saa 10, muda ulisogezwa mbele kidogo.
 
Wakuu,

Amesema Mchengerwa wakati anahojiwa na mwandishi wa TBC, kuwa kuna baadhi ya maeneo ambayo kumetoa sintofahamu mbalimbali, hasa maeneo ya Morogoro kuwa amewaambia watafanya uchaguzi kesho (Novemba 28, 2024) kwenye kata moja Ruaha ambako kulikuwa na changamoto kubwa upande wa karatasi za kupigia.

Na kule ambako kulikuwa na changamoto ndogo ndogo waliongezewa muda baada ya kumaliza saa 10, muda ulisogezwa mbele kidogo.
Bila watu kuwajibishwa kwa makosa hayo itakuwa ni ubadhilifu wa kodi za wananchi
 
Huu upuuzi wawache waendelee nao. CHADEMA tusipoteza muda wetu. Imetosha.
 
Waziri bora kabisa, ni kiongozi na mkweli
 
Wakuu,

View attachment 3163618

Amesema Mchengerwa wakati anahojiwa na mwandishi wa TBC, kuwa kuna baadhi ya maeneo ambayo kumetoa sintofahamu mbalimbali, hasa maeneo ya Morogoro kuwa amewaambia watafanya uchaguzi kesho (Novemba 28, 2024) kwenye kata moja Ruaha ambako kulikuwa na changamoto kubwa upande wa karatasi za kupigia.

Kupata taarifa na matukio ya kimkoa kuhusu Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Na kule ambako kulikuwa na changamoto ndogo ndogo waliongezewa muda baada ya kumaliza saa 10, muda ulisogezwa mbele kidogo.
Poor preparation.
 
Wakuu,

View attachment 3163618

Amesema Mchengerwa wakati anahojiwa na mwandishi wa TBC, kuwa kuna baadhi ya maeneo ambayo kumetoa sintofahamu mbalimbali, hasa maeneo ya Morogoro kuwa amewaambia watafanya uchaguzi kesho (Novemba 28, 2024) kwenye kata moja Ruaha ambako kulikuwa na changamoto kubwa upande wa karatasi za kupigia.

Kupata taarifa na matukio ya kimkoa kuhusu Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Na kule ambako kulikuwa na changamoto ndogo ndogo waliongezewa muda baada ya kumaliza saa 10, muda ulisogezwa mbele kidogo.


Mzee wa big chest
 
Back
Top Bottom