LGE2024 Mchengerwa kajaza Uwanja Mafia Lakini Tundu Lissu pale Mwembeyanga hata Robo ya Uwanja hapati, Chadema tumieni Mbinu za kisayansi!

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Huo ni ushauri kwenu CHADEMA tumieni Mbinu za kisayansi vinginevyo tutawasahau soon

Mlale Unono πŸ˜€
---

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Mohamed Mchengerwa na mbunge wa Rufiji akiwa kwenye viwanja vya Ujamaa wilayani Rufiji kwa ajili ya kuwasilisha taarifa ya utekelezaji wa Ilani ya Ccm katika wilaya hiyo kwa kipindi cha miaka 4.

Your browser is not able to display this video.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI na Mbunge wa Rufiji Mohamed Mchengerwa amempongeza Rais Samia kwa kufanya maendeleo katika wilaya hiyo ikiwemo uboreshaji wa miundombinu, ujenzi wa soko la kisasa litakalochochea uchumi wa wananchi.

Mchengerwa amesema hayo wakati akizungumza na wananchi wa Rufiji katika mkutano wa hadhara ambao ulijikita kuelezea mafanikio na kazi za maendeleo zilizofanywa katika uongozi wake.
 
Hao wakupelekwa na malori! Mchengerwa ni kiongozi hivyo sio kila anayekusanyika kwenye mkutano wake ni mwanaccm!! Wengine wanapelekwa kwa lazima na wengine wanaenda kusikiliza majibu ya matatizo yao! Hivyi mchengerwa ukiuondoa uwaziri na ubunge anaweza kujaza uwanja kweli???? Sidhani kwa hiyo level ya tundu lisu bado ipo juu sana ukilinganisha na kiongozi yoyote hapa Tanzania
 
Huo ni ushauri kwenu Chadema tumieni Mbinu za kisayansi vinginevyo tutawasahau soon

Mlale Unono πŸ˜€
johnthebaptist Unatia aibu Mzee Mwenzangu
  • Uwanja umejazwa za Chibu.
  • Mmesomba watu kutoka mikoa jirani waje kujaza uwanja.
  • Hamna akili, kujaza uwanja kwa watu ambao hata hawajaja kusikiliza unaongea nini kuna faida gani? Walio enda kumsikiliza Tundu Lissu wameenda kwa hiari yao, hawajafuata burudani wala posho.
 
Taarifa ilipaswa isomeke hivi;
Mwanamuziki Diamond atatumbuiza huko Ikwiriri Rufiji BURE na katika show hiyo Waziri Mchengelwa (Mb) naye pia atahudhuria.
Usikose.
 

Attachments

  • downloadfile-20.jpg
    266.4 KB · Views: 2
Unasumbuka na matahira,majinga,chawa,mapumbavu yasiyokuwa na akili hata kidogo. Achana nayo hapo hakuna mtu Kuna kivuli na shati tu.
 
Huo ni ushauri kwenu Chadema tumieni Mbinu za kisayansi vinginevyo tutawasahau soon

Mlale Unono πŸ˜€
Unakumbuka kipindi kile watu wanachukuliwa na ma fuso ili kujaza viwanja, au kipindi kile ulikua uko kwa mzee wa Ubwabwa?
Unaoneka huna muda mrefu tangu ujiunge na ccm.
Tena nimekumbuka, isije ikawa wewe Ni yule muchungachi feki tuliyemtoa jalalani.
 
Huo ni ushauri kwenu Chadema tumieni Mbinu za kisayansi vinginevyo tutawasahau soon

Mlale Unono πŸ˜€
Sayansi yenyewe ndiyo hii kusomba watu kwenye malori na kuwa tumia wasanii wenye kashfa ya ushoga?
 

Attachments

  • JamiiForums1012362808.jpeg
    39.8 KB · Views: 2
  • Screenshot_20230918-210933.jpg
    109.2 KB · Views: 2
  • IMG_20241011_035234.jpg
    266.4 KB · Views: 2
  • FB_IMG_1728222456565.jpg
    24.6 KB · Views: 2
Kwanza huwa ni agizo kujazana sehemu husika
 
Huo ni ushauri kwenu Chadema tumieni Mbinu za kisayansi vinginevyo tutawasahau soon

Mlale Unono πŸ˜€
Joe una upuuzi mwingi sana,Lissu mikutano yake na ni ya kuelemisha watu na siyo tamasha kama hayo makusanyiko ya CCM yanayoshereheshwa na mashoga waliopakwa mafuta na Pdidy. Shame on you Joe !!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…