BabuFey
JF-Expert Member
- Feb 13, 2023
- 1,659
- 2,913
Kwenye vipindi tofauti vya Kitenge WCB na Crow Media leo siku nzima ni matangazo ya tamasha linaloitwa la kumuenzi marehemu bibi Titi Mohamed kesho sasa tujiulize.
Bwana waziri ana ukwasi kiasi gani kulipa Wasanii wote waliotajwa wakiwemo Diamond, Harmonize na all the way from DRC Mbilia Bell.?
Tujiuliza Rufiji ikiwa nyuma kwenye Kila nyanja ya kimaendeleo inahitaji tamasha la wana Dar es Salamu au uwekezaji, elimu na miundo mbinu bora,makazi bora uchumi bora na afya bora?
Bwana waziri ana ukwasi kiasi gani kulipa Wasanii wote waliotajwa wakiwemo Diamond, Harmonize na all the way from DRC Mbilia Bell.?
Tujiuliza Rufiji ikiwa nyuma kwenye Kila nyanja ya kimaendeleo inahitaji tamasha la wana Dar es Salamu au uwekezaji, elimu na miundo mbinu bora,makazi bora uchumi bora na afya bora?