The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,282
- 117,244
Nimemsikia Nape anasema serikali inataka kuandaa Afcon...
Baadae nikamsikia Mchengerwa anasema tunaenda kombe la Dunia mwaka 2030...swali la kuwauliza hawa ndugu zetu wako serious?...
Kama wako serious mbona hatuoni hata hatua za mwanzo za maandalizi?..
Hatua ya Kwanza ilikuwa kuunda committee ya maandalizi na ushauri Kwa serikali...Binafsi ningempa hiyo nafasi Leodgar Tenga aje na timu yake...unaweza ongeza kina GSM na Mo humo na kampuni ambazo serikali ina hisa zikawepo pia...NMB. NBC n.k...na wataalam wengine...
Hatua ya pili ni lazima nchi iandae mashindano ya level ndogo lakini ya kimataifa kama njia ya kujipima...mfano world cup under 17... Afcon women....au world intercontinental championship..
Au wold club championship...n.k...
Halafu ndo mnakuja kuandaa Afcon ..mkiwa mmeshajipima.....
Ili kuandaa Afcon mnahitaji hata miaka mitano au zaidi ya maandalizi......
Lakini kama lengo ni kutangaza nchi why Taifa lisiandae events za kimataifa mbalimbali ambazo ni nafuu Kwa gharama lakini impacts yake ni ya kimataifa kama maandalizi kuelekea kuandaa hiyo Afcon?
Why not Miss world?....why not Miss universe?..events hizi zitatangaza nchi dunia nzima ....Kwa gharama nafuu pia....kuliko kukurupuka moja Kwa moja mseme tunaenda andaa Afcon wakati hatujawahi kujipima?
Baadae nikamsikia Mchengerwa anasema tunaenda kombe la Dunia mwaka 2030...swali la kuwauliza hawa ndugu zetu wako serious?...
Kama wako serious mbona hatuoni hata hatua za mwanzo za maandalizi?..
Hatua ya Kwanza ilikuwa kuunda committee ya maandalizi na ushauri Kwa serikali...Binafsi ningempa hiyo nafasi Leodgar Tenga aje na timu yake...unaweza ongeza kina GSM na Mo humo na kampuni ambazo serikali ina hisa zikawepo pia...NMB. NBC n.k...na wataalam wengine...
Hatua ya pili ni lazima nchi iandae mashindano ya level ndogo lakini ya kimataifa kama njia ya kujipima...mfano world cup under 17... Afcon women....au world intercontinental championship..
Au wold club championship...n.k...
Halafu ndo mnakuja kuandaa Afcon ..mkiwa mmeshajipima.....
Ili kuandaa Afcon mnahitaji hata miaka mitano au zaidi ya maandalizi......
Lakini kama lengo ni kutangaza nchi why Taifa lisiandae events za kimataifa mbalimbali ambazo ni nafuu Kwa gharama lakini impacts yake ni ya kimataifa kama maandalizi kuelekea kuandaa hiyo Afcon?
Why not Miss world?....why not Miss universe?..events hizi zitatangaza nchi dunia nzima ....Kwa gharama nafuu pia....kuliko kukurupuka moja Kwa moja mseme tunaenda andaa Afcon wakati hatujawahi kujipima?