Tyrone Kaijage
JF-Expert Member
- Jul 19, 2021
- 1,617
- 3,405
Ni ripoti ya Clouds Media na haya ni sehemu ya maneno yaliyosemwa na Waziri Utamaduni, Sanaa na Michezo.
Ukisikiliza kwa kina maelezo yake utaona ni yale yale kama ya lile garimoshi la umeme tuli linalolalamikiwa , upande wangu naona kuwa bado viongozi WaTanzania hawajakubali kuwa kuna vitu havitaki porojo za siasa bali ni mipango ya kweli.
Popote kwenye ndoto kubwa ni lazima kuwe na mgawanyo wa hatua mbali mbali za kuifikia,tusione Morocco wanaupiga vile tukadhani ni rahisi kufika pale, anyway basi tuwe na angalau na mipango hata ya kufika mbili mfululizo AFCON kwanza.
Tuna mipango gani ya uvunaji wachezaji na vipaji, sambamba na mifumo sahihi ya uendeshaji mpira wetu kuanzia mtaan chandimu, vilabu mpaka taifa.
Uvunaji wachezaji,inaweza kuwa kwa kuanzish academy au kwa kuanzisha sera za ku push michezo kuanzia mtaani, mfano siku hizi ukipita mitaani hata kukuta maeneo ya wazi ya michezo kwa watoto ni adimu.
Kupitisha sera za uraia pacha,tuvute vijana wa Kibongo walizoliwa nje na wenye exposure kuja kuongeza nguvu.
Mamlaka ziwe na watu wa michezo halisi sio wanasiasa wa michezo.
Sera ziwe za Wizara na ndio ziwe misingi ya dira ya Taifa, isiwe ya Waziri maana kesho huyo Waziri anaweza asiwepo hapo ukamkuta Wizara ya Afya huko…
Tyrone KG
Ukisikiliza kwa kina maelezo yake utaona ni yale yale kama ya lile garimoshi la umeme tuli linalolalamikiwa , upande wangu naona kuwa bado viongozi WaTanzania hawajakubali kuwa kuna vitu havitaki porojo za siasa bali ni mipango ya kweli.
Popote kwenye ndoto kubwa ni lazima kuwe na mgawanyo wa hatua mbali mbali za kuifikia,tusione Morocco wanaupiga vile tukadhani ni rahisi kufika pale, anyway basi tuwe na angalau na mipango hata ya kufika mbili mfululizo AFCON kwanza.
Tuna mipango gani ya uvunaji wachezaji na vipaji, sambamba na mifumo sahihi ya uendeshaji mpira wetu kuanzia mtaan chandimu, vilabu mpaka taifa.
Uvunaji wachezaji,inaweza kuwa kwa kuanzish academy au kwa kuanzisha sera za ku push michezo kuanzia mtaani, mfano siku hizi ukipita mitaani hata kukuta maeneo ya wazi ya michezo kwa watoto ni adimu.
Kupitisha sera za uraia pacha,tuvute vijana wa Kibongo walizoliwa nje na wenye exposure kuja kuongeza nguvu.
Mamlaka ziwe na watu wa michezo halisi sio wanasiasa wa michezo.
Sera ziwe za Wizara na ndio ziwe misingi ya dira ya Taifa, isiwe ya Waziri maana kesho huyo Waziri anaweza asiwepo hapo ukamkuta Wizara ya Afya huko…
Tyrone KG