Mchepuko alivyobadilisha maisha yangu

Mchepuko alivyobadilisha maisha yangu

HaMachiach

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2015
Posts
3,417
Reaction score
6,149
Maisha yana mambo mengi sana, nimeoa miaka kadhaa iliyopita.

Nina mtoto mmoja natarajia kupata mwingine soon.

Mwaka huu kuna dada nilimpata yeye ni single mother lakini bonge la demu yaani aliwahi kuzalishwa ni mtoto wa kimarangu mweupee tako kubwa yani amekamilika kila idara.

Huyo dada nimemtongoza karibia miezi 3 anagoma siku aliponikubali amekuwa mwema sana, sioni shida kuhudumia yeye na mtoto wake.
Nimeamua kumpangia nyumba yaani ananisisitiza sana kumjali mke wangu siku sijuti kumpata maamuzi niliyo chukua ni kwamba nitaenda kwao kutoa mahari nitaoa awe mke wa pili hata kama dini hairuhusu.
 
ananisisitiza sana kumjali mke wangu siku sijuti kumpata maamuzi niliyo chukua ni kwamba nitaenda kwao kutoa mahari nitaoa awe mke wa pili hata kama dini hairuhusu
Every Gambler knows Secret to Surviving is knowing what to keep and knowing what to throw, cause every hand is a winner and Evey hand is a loser, the best you can hope is to "die" in your sleep/dream!

She is just a Gambler Brother
 
Hapo jamaa hajui anatolewa kwenye reli mdogo mdogo, hata mkund** atapewa kisha anaacha familia inateketea
Very soon atapost kitu kama hii

2795695_images_2.jpeg
 
Chura imekuvuruga akili. Chezeya chura weye!!!
😂😂
Behaviourist

Maisha yana mambo mengi sana nimeoa miaka kadhaa iliyo pita nina mtoto mmoja natarajia kupata mwingine soon. Mwaka huu kuna dada nilimpata yeye ni single mother lakini bonge la demu yani aliwahi kuzalishwa ni mtoto wa kimalangu mweupee tako kubwa yani amekamilika kila idara huyo dada nmemtongoza karibia miezi 3 anagoma siku alipo nikubali amekuwa mwema sana sioni shida kuhudumia yeye na mtoto wake nimeamua kumpangia nyumba yani ananisisitiza sana kumjali mke wangu siku sijuti kumpata maamuzi niliyo chukua ni kwamba nitaenda kwao kutoa mahari nitaoa awe mke wa pili hata kama dini hairuhusu
 
Maisha yana mambo mengi sana nimeoa miaka kadhaa iliyo pita nina mtoto mmoja natarajia kupata mwingine soon. Mwaka huu kuna dada nilimpata yeye ni single mother lakini bonge la demu yani aliwahi kuzalishwa ni mtoto wa kimalangu mweupee tako kubwa yani amekamilika kila idara huyo dada nmemtongoza karibia miezi 3 anagoma siku alipo nikubali amekuwa mwema sana sioni shida kuhudumia yeye na mtoto wake nimeamua kumpangia nyumba yani ananisisitiza sana kumjali mke wangu siku sijuti kumpata maamuzi niliyo chukua ni kwamba nitaenda kwao kutoa mahari nitaoa awe mke wa pili hata kama dini hairuhusu
Sasa hizi ndio akili sio mtu anajisigia magari kibao. Umefanya vyema mzee...weka mrembo ndani nae apate heshima ya kuitwa wife
 
Mara nyingi penzi likiwa changa kila mtu anajaribu kuficha mapungufu yake, hivyo kila mtu atamuona mwenzake amekamilika. Lakini kutokana na tafiti kuanzia miezi nane baada ya kuanza mahusiano kila mtu anakuwa anaanza kufeli kuficha mapungufu yake.

Kitu ninachoweza kukwambia mkuu, unafanya maamuzi penzi likiwa changa sana, jipe hata miaka miwili. Hakuna mwanamke anapenda kupangwa.

Utakuja kurudi ukipiga ukunga hapa. Bora uchill na mke wako huyo ndiyo uliyemchagua bila mihemko kama huyu ambavyo amekuchanganya akili bado hujamjua kwa mengi. Tujifunze kuyapa mahusiano muda, maana binadamu tuna tabia ya kuamini watu kabla hatujawafahamu vizuri.

Fahamu kwamba ukiwa comfortable unakuwa vulnerable zaidi.
"Confidence without clarity is a disaster."
 
Back
Top Bottom