HaMachiach
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 3,417
- 6,149
Anataka kodi, ada, msosi etc wakati huo huo anajifanya kukusitiza kumpenda Mkeo na watoto! MmmmghhKila mchepuko unaojitegemea, msisitizo wao ni kumuheshimu mkeo. Baada ya muda, mtazamo huu unaweza kubadilika....
Nini sasa unahitaji kutoka kwa mchepuko ndo muhimu, unakipata?
Every Gambler knows Secret to Surviving is knowing what to keep and knowing what to throw, cause every hand is a winner and Evey hand is a loser, the best you can hope is to "die" in your sleep/dream!ananisisitiza sana kumjali mke wangu siku sijuti kumpata maamuzi niliyo chukua ni kwamba nitaenda kwao kutoa mahari nitaoa awe mke wa pili hata kama dini hairuhusu
Hahhaahhaaaa atarudi anatambaaHa ha ha qumanina
Very soon atapost kitu kama hiiHapo jamaa hajui anatolewa kwenye reli mdogo mdogo, hata mkund** atapewa kisha anaacha familia inateketea
Bonge la mapenzi iseeHapo jamaa hajui anatolewa kwenye reli mdogo mdogo, hata mkund** atapewa kisha anaacha familia inateketea
Maisha yana mambo mengi sana nimeoa miaka kadhaa iliyo pita nina mtoto mmoja natarajia kupata mwingine soon. Mwaka huu kuna dada nilimpata yeye ni single mother lakini bonge la demu yani aliwahi kuzalishwa ni mtoto wa kimalangu mweupee tako kubwa yani amekamilika kila idara huyo dada nmemtongoza karibia miezi 3 anagoma siku alipo nikubali amekuwa mwema sana sioni shida kuhudumia yeye na mtoto wake nimeamua kumpangia nyumba yani ananisisitiza sana kumjali mke wangu siku sijuti kumpata maamuzi niliyo chukua ni kwamba nitaenda kwao kutoa mahari nitaoa awe mke wa pili hata kama dini hairuhusu
Mtoto anajua kupetipeti yani nikiwa naye najisikia amani sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] halafu unajistukia NOMAAA!!
Uyu bado mgeni mjini!!hajui kutofautisha utapeli na ukabaji!!Anataka kodi, ada, msosi etc wakati huo huo anajifanya kukusitiza kumpenda Mkeo na watoto! Mmmmghh
Asipomuelewa Kenny Rogers atajua mwenyewe na moyo wakeEvery Gambler knows Secret to Surviving is knowing what to keep and knowing what to throw, cause every hand is a winner and Evey hand is a loser, the best you can hope is to "die" in your sleep/dream!
She is just a Gambler Brother
Sasa hizi ndio akili sio mtu anajisigia magari kibao. Umefanya vyema mzee...weka mrembo ndani nae apate heshima ya kuitwa wifeMaisha yana mambo mengi sana nimeoa miaka kadhaa iliyo pita nina mtoto mmoja natarajia kupata mwingine soon. Mwaka huu kuna dada nilimpata yeye ni single mother lakini bonge la demu yani aliwahi kuzalishwa ni mtoto wa kimalangu mweupee tako kubwa yani amekamilika kila idara huyo dada nmemtongoza karibia miezi 3 anagoma siku alipo nikubali amekuwa mwema sana sioni shida kuhudumia yeye na mtoto wake nimeamua kumpangia nyumba yani ananisisitiza sana kumjali mke wangu siku sijuti kumpata maamuzi niliyo chukua ni kwamba nitaenda kwao kutoa mahari nitaoa awe mke wa pili hata kama dini hairuhusu